Hivi ni kweli Ng'ombe hawana roho

Hivi ni kweli Ng'ombe hawana roho

Mhubiri 3:21 Ni nani ajuaye kama roho ya
binadamu huenda juu, na kama roho ya
mnyama huenda chini?
 
Unatokea mkoa gani kwa kanda ya ziwa....maana naona infact zinakuwa nyingi sn kwny uzi wako
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!
Katika viumbe vyote vinavyoonekana hapa duniani, ukitoa majini n.k ni Binadamu ndo mwenye ROHO, na ndo maana Mungu akasema ameumba mwanadamu kwa mfano wake kwa kuwa Mungu ni Roho na Binadamu ana Roho pia. Kinachomfanya Mwanadamu aishi ni Nafsi na Si Roho, Roho haifi ila nafsi ikishakufa ndo mauti ya mwanadamu hapo. Kwahiyo ktk Topic yetu Ng'ombe hajaumbwa na Roho, kwahiyo yeye Motoni hakumhusu wala Mbinguni hakumhusu maana hesabu yake yeye inaishia hapa hapa Duniani.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!
Katika viumbe vyote vinavyoonekana hapa duniani, ukitoa majini n.k ni Binadamu ndo mwenye ROHO, na ndo maana Mungu akasema ameumba mwanadamu kwa mfano wake kwa kuwa Mungu ni Roho na Binadamu ana Roho pia. Kinachomfanya Mwanadamu aishi ni Nafsi na Si Roho, Roho haifi ila nafsi ikishakufa ndo mauti ya mwanadamu hapo. Kwahiyo ktk Topic yetu Ng'ombe hajaumbwa na Roho, kwahiyo yeye Motoni hakumhusu wala Mbinguni hakumhusu maana hesabu yake yeye inaishia hapa hapa Duniani.

Baadae lete ushaidi wa ulichokisema..
 
Story za Shetani na Mungu ni Simulizi tu...hakuna uthibitisho wowote...labda Kiimani..Huu ni ukweli tunaoogopa kuusema...

Unajua hâta bila maandiko ,akili yako inapaswa kujua kuna aliyeprogram mbingu na nchi,ata kama hutamwita mungu. Jua hutoka asubuhi likakuuza mimea itoayo chakula ambacho huna ujanja unakila ili uishi,nani kaliweka hapo lilipo ? Tunalitegemea lkn hatuna uwezo Wa kuliamuru. Likizama lakulazimisha kulala ,likichomoza lakuamsha,kwa hilo mnahesabu miaka na masaa.mvua nayo hukujia kwa wakati ili usiangamie njaa wewe na vizazi vyako.mtu mkweli atasema yupo aliyeumba haya ,ni évidence,waulize wanasheria. Sasa ukipita serengeti ukaokota saa utasema nini,?hii ni kazi ya wanadamu; Itakuwa mtu aliangusha,au aliliwa na simba au ilianguka toka ndege! Kwa kuwa any created thing kina yéyé aliyekiumba,tumia fikra ya kawaida ,usijidanganye.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!
Katika viumbe vyote vinavyoonekana hapa duniani, ukitoa majini n.k ni Binadamu ndo mwenye ROHO, na ndo maana Mungu akasema ameumba mwanadamu kwa mfano wake kwa kuwa Mungu ni Roho na Binadamu ana Roho pia. Kinachomfanya Mwanadamu aishi ni Nafsi na Si Roho, Roho haifi ila nafsi ikishakufa ndo mauti ya mwanadamu hapo. Kwahiyo ktk Topic yetu Ng'ombe hajaumbwa na Roho, kwahiyo yeye Motoni hakumhusu wala Mbinguni hakumhusu maana hesabu yake yeye inaishia hapa hapa Duniani.

Mhubiri 3:21 Ni nani ajuaye kama roho ya
binadamu huenda juu, na kama roho ya
mnyama huenda chini?
 
Watu wote kutokea adam wana roho ifanyayo nafsi haï, inaitwa Ruwash ata mnyama Anayo,Mwanzo 1:2. Wale waliozaliwa mara pili wengi wao walokole wana roho iletayo au itoayo uzima Wa mungu,inaitwa pneuma. Pneuma haiwezi tengwa na mungu,na ni lazima Uwe nayo ili utinge mbinguni. Yohana 3:1-8.
Hizo ni greek lexicon original hebrew translation
Biblia imeandika roho tu,lakini sehemu nyingine humaanisha ruwash na nyingine pneuma,mpaka uchimbe utaiona dhahabu
 
DA Don....hizi hadithi zako sijui unazitoa wapi.....anyway science nzima haimini hii habari ya roho...hii ni kwenye imani zetu tu...infact kwa mtizamo huu wako basi hata binaadamu hatuna roho...inawezekana hata huko peponi na motoni ni myth tu......tunaweza kuabudu wee tukifika huko hakuna cha sir GOD wala nini......ila wacha tu mi niendelee kumuabudu hivihivi kwani hata nikifika huko km hayupo sio issue sana ila noma pale usipomuabudu ufike kule umkute...duh huyu Sir GOD biffu lake sio la kawaida....waulize sodoma na gomora...
 
Ninyi mnaomzogoa mtoa mada onesheni elimu kwa kujibu swali sio kukebehi. Kwani kuuliza ni ujinga au kujibu kifarasi ndo ujinga!
 
Kuna 100% of chance kwamba hao wanyama hawana roho
Tukitaka kujua Hilo ni lazima kwanza tujue maana ya roho
Je wewe unafahamu nini kuhusu roho?
 
Pia tuseme tunachokijua sio tulichosikia wakuu
 
Si bora hao ng'ombe jawana roho!
Mbona vijana wa lumunba akina msalani wenyewe hawana ubongo kabisa!
Kama huamini angalia comment zao humu.
 
ndo kwanza naskia kwako. hayo uliyoyasema ni according to science au imani?
 
Back
Top Bottom