tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,143
Mbona inasemekana paka ana roho saba!?
Mbona inasemekana paka ana roho saba!?
Ni kweli hebu lala kwanza maana...!!!
Inasemekana kwamba ng'ombe hana roho kabisa..., yaan yeye ana mwili tu bila roho. Infact akifa bado haijabainika ni nini hasa kinachotoka mwilini mwake hadi afe..., infact bado haijabainika kama angekuwa na roho hiyo roho ingeenda wapi akifa .., motoni au mbinguni..., infact hana free will so itakuwa unfair kuipeleka roho yake motoni.., lakini pia itakua grossly unfair kuipeleka mbinguni coz hajapitia majaribu kama ya binadamu wenye free will..., infact inaaminika kwamba hata nguruwe hawana roho..., na hata wangekuwa nayo same applies..., ngoja nilale kwanza nitaendelea..
Yote tisa. Miti je ina roho? Mana tunaskia miti inakufa, niaje hapa wakuu?
Kitu kinachotufanya tufanane na Mungu ni roho.Mungu ni roho.Mungu aliposema nitamfanya MTU kwa mfano Wangu hapa alimaanisha Binadamu atakuwa na roho kama yeye.wanyama HAWANA roho
Roho ndio nini?
Inafananaje?
Ikoje?
Inakaa sehemu gani katika mwili wa binadamu?
nilipata kusikia mbinguni ni kama nchi ya maziwa na asali, uwezekano mkubwa upo wa ng'ombe na nyuki kuwepo huko.
Mkiambiwa msome, hamtaki! Mnakuja kusumbua watu tu hapa!
nafikiri roho it is something abstract hakionekani wala kushikika and roho inahusiana na nafsi so binadamu tu ndo wana roho. But am not sure with ma answer. Ni jinsi nionavyo mimi
Mbona inasemekana paka ana roho saba!?
nafsi ndo nini?
roho ni koromeo la kulia chakula.mwalimu aliniambia hivyo
Akifa roho yake inaenda wapi..infact ng'ombe ana roho