Hivi ni kwanini wadada wengi hawapendi mikono

Hivi ni kwanini wadada wengi hawapendi mikono

CUBICBOY

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
322
Reaction score
258
Habari wakuu, katika mishemishe zangu za siku zote huwa ninabahati sana ya kukutana na warembo, ila shida kila nikitaka kuwasalimia kwa ukaribu yaani kushikana mikono huwa hawataki ,hivi ni kwanini au ni Mimi Mwenye mkosi katika sayari hii
 
Mshana ameshasema, "nguvu za kupumbaza ziko kwenye mkono wake", watakuwa wamesoma hiyo nyuzi........

Tafuta mbinu nyingine...
 
unakuwa unafahamiana nao au unakutana nao barabarani na na kutoa mkono ?kama unakuwa unafahamiana nao badi moja kwa moja una gundu
 
5862837eb51c3e4d54d5f2f1e9721975.jpg
 
Back
Top Bottom