joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Magufuli deals fresh blow to President Uhuru - Business Today KenyaEti Magufuli alifanya nini? Hahaa!Hebu tupia hiyo link basi, ya habari hizo kama zilivoripotiwa kwenye media za Kenya. Na iwe media inayoheshimika tafadhali.
Magufuli deals fresh blow to President Uhuru - Business Today KenyaKindly post that link
Burudani ❗ 👍 bongo flava only. But siasa no. Wanasiasa wenu hawajulikani. Only magufuli is known by watu wachachewanaofuatilia siasaKwani mleta mada alikua anamuongelea Rais wa masauti au Rais Magufuli?
Link zote nilizoweka humu ni za gazeti moja tu Kenya makusudi kabisa ili muone namna mnavyofatilia habari za Magufuli, hapo sijaweka habari za Tanzania in general wala sijaweka link za magazeti mengine na accounts nyingine za watu TV, radios mkubali tu ukweli kwamba Kenya inafuatilia sana habari za Tanzania sio burudani tu mpaka siasa.
Hahaha your analysts can't talk three words without mentioning himBurudani ❗ 👍 bongo flava only. But siasa no. Wanasiasa wenu hawajulikani. Only magufuli is known by watu wachachewanaofuatilia siasa
MtusameheHili nalo lina kaukweli fulani, tangu mchome vifaranga na kukamata ng'ombe wetu, vilisababisha uhasama baina yetu kiasi hata Wakenya ambao hawakua wana issue na Tanzania wakajua kweli mumefikisha chuki zenu kwenye kiwango kipya.
Nimemskia tu Sonko akimnukuu Magufuli mara moja. Alimtumia Magufuli kama excuse ya kutoa matamshi ya kijinga, ama policy ya upuzi.
Huyu mleta mada Barbarosa anafurahisha, anavosema kwamba huwa anaambiwa haya yote na 'mwenzake', eti hadi anatumiwa links. Kupata habari za Magufuli au Tz kwenye media za Kenya ni nadra sana. Tena sana. Sio kwenye magazeti, Tv wala kwenye radio. Labda wakati anapofanya vitu vya ajabu ajabu ndio utaona habari zinazomhusu, kwenye mitandao ya kijamii. Sanasana kwenye jukwaa hili.
Hahahaaa watu wa kenya hawampendi magufuli hadi wanaomba awe rais wao ili nchi iendelee, hawampendi huku wagombea wanajinadi kiwa kama wakishinda irais basi wataongoza kama magufuli. 254 shame on youNajua haya si unayotaka kuskia, lakini huu ndio ukweli.
Wakati ule tu Magufuli ana 'trend' Kenya ni anapofanya kitendo cha ujinga. Mfano kutuma majeshi forex, kupiga risasi wapinzani, kununa korosho kwa lazima ama kuchoma kuku za Kenya.
Unafaa utembee Kenya angalau siku kidogo. Vyombo vya habari hapa huenda hata mwaka mmoja bila kuleta habari yoyote ya Tanzania.
Kasukumizwa.Swali kwako, kama Raisi Magufuli ni akili ndogo kama unavyodai, vipi wewe, mamako, babako, na Watanzania wote kwa ujumla, I mean, aliwezaje kupita kote huko hadi kuwa Raisi wa JMTZ kama ana akili ndogo ukimlinganisha na wewe ambaye ni failure through through in life? Raisi Magufuli ameenda kutoka Mwalimu mpaka kuja kuwa Raisi wa JMTZ, unaweza kuelezea how did that metamorphosis happen?
Je zina trend kivipi....+ve au -ve?Hata Tanzania kwa Sasa inafuatiliwa Sana na dunia nadhani ipo kwenye top five ya nchi za africa ambazo habari zake Zina trend Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee sio vita bana wala sio sifa, mimi ni mmoja wa wakenya ambao huwa wanafatilia habari za Tz na ndio maana nikisema wakenya wengi huwa hawafanyi kama mimi najua ninaongea kuhusu nini. Kama una maoni mbadala, changia mada bila ya kuninukuu.
Eti nini? Nadhani uzi huu ni kuhusu wakenya, sio watz.Magufuli deals fresh blow to President Uhuru - Business Today Kenya
Wewe tuwekee mainstream ya Tanzania iliyoripoti habari za Uhuru Kenyatta ndani ya miezi mitatu iliyopita Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaacha kabsa mkuu, lakini kuelewa umeelewa tuliza genye.Ilikuwa Juzi kweli.!??? Punguza uongo mkuu
MGC
Mbona hueleweki wewe?, tunakuletea ushahidi unaothibitisha kwamba media za Kenya zinaripoti habari nyingi za Magufuli kuliko other way round, au unataka nini tena?Aisee sio vita bana wala sio sifa, mimi ni mmoja wa wakenya ambao huwa wanafatilia habari za Tz na ndio maana nikisema wakenya wengi huwa hawafanyi kama mimi najua ninaongea kuhusu nini. Kama una maoni mbadala, changia mada bila ya kuninukuu.
Eti nini? Nadhani uzi huu ni kuhusu wakenya, sio watz.
Kameze dose kwanza.Kwa nini na wewe, chadema, &Co. msisukumizwe pia ili mmpate Uraisi wa JMTZ?
Kamwone dk wa magonjwa ya akili.hauko vzr kichawni.Najua haya si unayotaka kuskia, lakini huu ndio ukweli.
Wakati ule tu Magufuli ana 'trend' Kenya ni anapofanya kitendo cha ujinga. Mfano kutuma majeshi forex, kupiga risasi wapinzani, kununa korosho kwa lazima ama kuchoma kuku za Kenya.
Unafaa utembee Kenya angalau siku kidogo. Vyombo vya habari hapa huenda hata mwaka mmoja bila kuleta habari yoyote ya Tanzania.
Akili matope za wakenya et walisubiri waruhusiwe kusafiri na ID badala ya passport.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa!Mbona hueleweki wewe?, tunakuletea ushahidi unaothibitisha kwamba media za Kenya zinaripoti habari nyingi za Magufuli kuliko other way round, au unataka nini tena?
Sent using Jamii Forums mobile app