eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,642
- 13,773
Hili nalo lina kaukweli fulani, tangu mchome vifaranga na kukamata ng'ombe wetu, vilisababisha uhasama baina yetu kiasi hata Wakenya ambao hawakua wana issue na Tanzania wakajua kweli mumefikisha chuki zenu kwenye kiwango kipya.
Teh teh teh tihiii
siyo hilo bana.
kenya people tend to compare your crying baby with our bulldozer.
🤣🤣🤣😅😅😅
ahaaa haaa haaa