Hivi ni kwanini Rais Magufuli anafuatiliwa sana nchini Kenya?

BW. Pombe kufuatiliwa Kenya ni kwa sababu...
1547512782061.png

1547512864253.png


1547512902137.png


1547512976887.png

1547513025656.png
 
Nina rafiki huko wakati mwingine hunipa news za Raisi Magufuli ambazo mimi mwenyewe sijazisikia bado, sikumbuki ni lini Raisi wa JMTZ amekuwa gumzo kubwa hivi huko Kenya kama Raisi Magufuli, hivi ni
kwa nini?
Hafuatiliwi ila wanamshaa kumuona Zinjanthropus Afrcanus akiwa hai
 
Nina rafiki huko wakati mwingine hunipa news za Raisi Magufuli ambazo mimi mwenyewe sijazisikia bado, sikumbuki ni lini Raisi wa JMTZ amekuwa gumzo kubwa hivi huko Kenya kama Raisi Magufuli, hivi ni
kwa nini?
Nafikiri umepata jibu sasa kupitia Stephen Suckur wa the Hard Talk; ameongelea mambo mengi positive kuhusu utendaji kazi wa JPM kuliko yule mBongo ambaye alikua anahojiwa siku hiyo...
 
Najua haya si unayotaka kuskia, lakini huu ndio ukweli.
Wakati ule tu Magufuli ana 'trend' Kenya ni anapofanya kitendo cha ujinga. Mfano kutuma majeshi forex, kupiga risasi wapinzani, kununa korosho kwa lazima ama kuchoma kuku za Kenya.

Unafaa utembee Kenya angalau siku kidogo. Vyombo vya habari hapa huenda hata mwaka mmoja bila kuleta habari yoyote ya Tanzania.
Man.ambia hawa wajinga,we dont know anything kuwahusu apart from Magufuli is your president and alichoma kuku zetu hio ndo news tu tuliona,sema tu you wish kenya ingekuwa inawaongelea sasa kama hatuongelei SA kwa news zetu nyi ni nani?but chenye naeza waambia tumewadharau tu hio ndo shida moja yetu yoka kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa natumiwa links mara kwa mara, kuhusu tv sijui ila Magazeti haipiti wiki wataandika chochote kuhusu Magufuli, nitakupa mfano juzi kati nilitumiwa kuambiwa Magufuli kamuombea mama yake mgonjwa hospitalini, Wakenya wanajua hilo nilishangaa.
You wish nani anajua hio????we kenyans na hatujui,Tz ni mdomo kwanzia kwa prezzo wenu mpaka nyinyi hapa umama ndo mumejaza,kupika stories za ujinga,mkikunywa chai ya kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani uzi huu uliletwa hapa ili wakenya wajibu swali la mleta mada. Utakuwa ni uzi wa ligi za kisiasa, siasa za Tz. Mimi binafsi huwa nina upendo mkubwa wa kufatilia habari kama zinazochimbuka kila uchao Tz ila kwenye media za Kenya hazipatikani hata kidogo. Yaani kwenye magazeti hata wiki mbili zitapita bila kuona jina la Tz wala Magufuli. Kwenye Tv hawaleti habari kutoka Tz, mitandaoni, mara moja moja.
Man elimisha your brothers we dont watch any Tz news hata kidogo hata kidogo tunajua tu ******** is your president na alichoma kuku zetu hio ndo news yenu ishailetwa kwa Tv zetu,pingili nywee waambie wasee wako ukweli na waachane na joints zina wa mess

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom