Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,127
Kwa mujibu wa Rais Magufuli ni kwamba kuna watumishi wengi tu wamemzidi mshahara.
Sasa nauliza tu.
Je, ni bodi ipi ina ujasiri na mamlaka ya kuipima kazi ya mkurugenzi fulani ni kubwa, ya thamani na ni ngumu kuliko ya Rais?
Je, mshahara wa Rais Tanzania hupangwa na Rais mwenyewe aliye madarakani?
Mtangulizi wa Rais Magufuli (Kikwete) aliwahi kuanika mshahara wake?
Je, mshahara wa Rais haupitii hazina?
Kama Magufuli aliona hana haja ya kulipwa pesa nyingi kwa manufaa ya taifa, je, kwanini hajaamuru mishahara ya watumishi wote iwe chini ya milioni 10?
Au amekubali kuwa kuna watumishi ni muhimu zaidi yake.
Sasa nauliza tu.
Je, ni bodi ipi ina ujasiri na mamlaka ya kuipima kazi ya mkurugenzi fulani ni kubwa, ya thamani na ni ngumu kuliko ya Rais?
Je, mshahara wa Rais Tanzania hupangwa na Rais mwenyewe aliye madarakani?
Mtangulizi wa Rais Magufuli (Kikwete) aliwahi kuanika mshahara wake?
Je, mshahara wa Rais haupitii hazina?
Kama Magufuli aliona hana haja ya kulipwa pesa nyingi kwa manufaa ya taifa, je, kwanini hajaamuru mishahara ya watumishi wote iwe chini ya milioni 10?
Au amekubali kuwa kuna watumishi ni muhimu zaidi yake.