Watu wanasahau kwamba maovu mengi yanaonekana sasa hivi lakini yalianza kipindi cha Mkapa na Kikwete. Watu walijimilikisha taasisi na idara za serikali wakawa wanajiamulia chochote wanachojisikia kinawafaa.Usitupe lawama kwa Rais aliyepo haya mambo yalikuwepo hata kabla yake.