Kama una simu ya android na ume login na email yako ya Gmail automatic vitakua vimekaa.Salamuu wakuu,
Naomba kujuzwa ni namna gani naweza viweka vitu vyangu kwenyee email yangu kwa mfano contracts pamoja na pichaa zangu
Naomba kuwasilisha kwa anaejuaaa wakuu msaada wenu...
Sawa mkuu ngoja NijaribuuKama una simu ya android na ume login na email yako ya Gmail automatic vitakua vimekaa.
Manual fanya hivi
1. Dowoad app ya photo ya Google kama haipo kwenye simu, download toka playstore, kisha fungua nenda setting chagua aina gani ya picha unataka ziseviwe.
2. Fungua app ya contact nenda setting kisha kwenye email sync contact zako.
Fuata maelekezo haya pia yatakusaidia mkuuKama una simu ya android na ume login na email yako ya Gmail automatic vitakua vimekaa.
Manual fanya hivi
1. Dowoad app ya photo ya Google kama haipo kwenye simu, download toka playstore, kisha fungua nenda setting chagua aina gani ya picha unataka ziseviwe.
2. Fungua app ya contact nenda setting kisha kwenye email sync contact zako.
Compose email. Weka hizo document kama attachments. Then save hio draft ama jitumie mwenyewe. Problem solvedSalamuu wakuu,
Naomba kujuzwa ni namna gani naweza viweka vitu vyangu kwenyee email yangu kwa mfano contracts pamoja na pichaa zangu
Naomba kuwasilisha kwa anaejuaaa wakuu msaada wenu...
email yako ina uwezo wa kutuma mails na attachments zake kwenye address hiyohiyo.Huwezi labda uanzishe akaunti nyengine alafu ujitumie mwenyewe kutoka kwenye akaunti yako ya zamani kwenda kwenye akaunti yako mpya