Hivi nani anatumia RCS kwenye simu za android?

Unatumia simu gani?

Ina dual line hiyo simu unayotumia?

Kama ina laini 2, RCS inataka laini unayotaka kutumia iwe laini 1 na pia hiyo hiyo ndio uitumie kwenye internet/bando ama data.

Mimi naitumia hiyo na iko poa sana.
 
Unatumia simu gani?

Ina dual line hiyo simu unayotumia?

Kama ina laini 2, RCS inataka laini unayotaka kutumia iwe laini 1 na pia hiyo hiyo ndio uitumie kwenye internet/bando ama data.

Mimi naitumia hiyo na iko poa sana.
Natumia Xiomi Mi11lite, yes line ni sim one na ndio natumia data yake lakini inasema tu verifying number. Nimejaribu Google huko nikaona sio mimi peke yangu mwenye tatizo hili
 
Natumia Xiomi Mi11lite, yes line ni sim one na ndio natumia data yake lakini inasema tu verifying number. Nimejaribu Google huko nikaona sio mimi peke yangu mwenye tatizo hili
Jaribu ku update hiyo app.

Pia jaribu ku disable hiyo feature na kisha retart simu na kisha enable upya hiyo feature.
 
Jaribu ku update hiyo app.

Pia jaribu ku disable hiyo feature na kisha retart simu na kisha enable upya hiyo feature.
Iko updated mkuu, nimerestart lakini wapi. Wewe inafanya kazi katika line ya mtandao gani, maana wengine wanadai wakibadili number inakubali
 
Najaribu ku enable RCS via google sms kwa ku switch on chat features lakini kila mara inabaki kusema inaverify number.

Kuna mtu yeyote amefanikiwa kutumia hii feature?
Hii ni ni kitu gani ufafanuzi kidogo na sisi tuanze itumia
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Hii ni ni kitu gani ufafanuzi kidogo na sisi tuanze itumia
Ukiwa umeenable rcs ukawa unachat kwa sms za kawaida na mtu ambaye naye amenable rcs automatically zinaenda kwa njia ya internet na inakuwa kama tu ilivyo kwa whatsapp, unaweza tuma video, picha na akiwa anatype unaona. Yani ni sawa na imessages kwenye iPhone.
Kama mtu hana rcs au anayo hajaienable zinaenda kama msg za kawaida kama ulivyozoea
 
Ukiwa umeendabke rcs ukawa unachat kwa sms za kawaida na mtu ambayr naye amenable rcs automatically zinaenda kwa njianya internet na inakuwa kama tu ilivyo kwa whatsapp, unaweza tuma video, picha na akiwa anatype unaona. Yani ni sawa na imessages kwenye iPhone.
Kama mtu hana rcs au anayo hajaienable zinaenda kama msg za kawaida kama ulivyozoea
Aisee kumbe
 
Ukiwa umeenable rcs ukawa unachat kwa sms za kawaida na mtu ambaye naye amenable rcs automatically zinaenda kwa njia ya internet na inakuwa kama tu ilivyo kwa whatsapp, unaweza tuma video, picha na akiwa anatype unaona. Yani ni sawa na imessages kwenye iPhone.
Kama mtu hana rcs au anayo hajaienable zinaenda kama msg za kawaida kama ulivyozoea
Hiyo rcs inapatikana kwenye setting ama ni app?

Na kama ni kwenye setting ipo sehemu gani ya setting?
 
Hiyo rcs inapatikana kwenye setting ama ni app?

Na kama ni kwenye setting ipo sehemu gani ya setting?
Iko kwenye setting za default sms app inayokija na simu za android hata app ya sms ya samsung ipo pia. Ila siyo kila simu inakupa option ya kuenable hiyo feature kuna simu nyingine huwezu kuienable.
Ndio future ya texting
 
Iko kwenye setting za default sms app inayokija na simu za android hata app ya sms ya samsung ipo pia. Ila siyo kila simu inakupa option ya kuenable hiyo feature kuna simu nyingine huwezu kuienable.
Ndio future ya texting
Pamoja sana mkuu.
 
Rcs kama ilivyo HD calling na Volte inahitaji Mtandao husika uwe una support kwako na Mpokeaji pia.

Sema Google ana Backend yake inaitwa Jibe ambayo ina Bypass mtandao, ila inahitaji kudownload app separate.

Ingia playstore download messages by google kisha nenda setting then enable chat feature, nimetest kwangu imekubali.

One tip tumia wifi kama ni ya zuku ama Mtandao mwengine, hii itakusaidia ku narrow tatizo pengine mtandao wa simu ama apn inakublock
 
Rcs kama ilivyo HD calling na Volte inahitaji Mtandao husika uwe una support kwako na Mpokeaji pia.

Sema Google ana Backend yake inaitwa Jibe ambayo ina Bypass mtandao, ila inahitaji kudownload app separate.

Ingia playstore download messages by google kisha nenda setting then enable chat feature, nimetest kwangu imekubali.

One tip tumia wifi kama ni ya zuku ama Mtandao mwengine, hii itakusaidia ku narrow tatizo pengine mtandao wa simu ama apn inakublock
Nta try via wifi
 
RCS iko poa sana. Shida wengi hawaijui so unaweza jikuta uko mwenyewe tu au na watu wawili watatu.
 
Back
Top Bottom