Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Utakuwa fisadi au umedhurumu watu au MTU au unatoka familia tajiri. Mawazo yako mgando baada ya kufikiria kuingiza fedha unafikiria kutumia tu. Umepata wapi fedha ya kuchezea we we?
 
NILICHOJIFUNZA JF...MADA YOYOTE UTAKAYOANZISHA LAZIMA UTAPATA WA KUKUUNGA MKONO NA WA KUKUPONDA!...
 
Umepita akilini mwangu mkuu hivyo ndo vitu navipenda gari zuri, nyumba nzuri na familia yenye furaha. Ahsante kutukumbusha boss.
 
Hao Ndo Great Thinkers Wa Jf, Ila Kila M2 Ana Vpaumbele Vyake Ktk Maisha. Kuna Yule Mzee Wa Kimasai Ana Ng'ombe Zaidi Za 1000, Wake Zaidi Ya 10, Wajukuu Zaid Ya 50 Na Kawajengea Mpaka Shule, Nyumba Zake Za Udongo. Familia2 Aliyonayo Sawa Na Ukoo Wenu. Gar Za Mikopo Ya Mil6 Ndo Gari? C Sawa Na Bei Ya Pkpk Ya Mjapani Honda CG-125?
 
Back
Top Bottom