Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Inaonyesha akili zako zikoje na naweza kukuambia maisha yako toka unazaliwa na utakufaje
 
Labda unatania, waliokulia kwenye familia za kitajiri hawako hivyo. Huyu ni team malimbukeni!
Yap tena limbukeni daktari wa maana. Sio wewe hata fekon au boxer za waha zina kushinda
Shame on you... Hata hii[emoji116][emoji116][emoji116]
images-22.jpeg
 
Hahahahaa Mungu akutie nguvu katika fikra zako nzuri
 
Ndio maana huwa 'mnatundikwa mimba' na kuachwa kwa tamaa zetu. Mxxxiuuu...
 
Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!

Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama haya[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 516378

Au

View attachment 516379

Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380

Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...

Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381

Na

View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua

Dr. H. Rweyemamu

Babaako aishamiliki hyo kitu maana nae yupo ktk group hiyo
 
What a brown matter of yours' trying to paint a wall with, you poor chap!? I could better egest it instantly . Won't buy so cheap a shabby pant of ya boy!
Nachokiona kwako ni

480px-Detergents.png


[emoji809]

images-1.png


[emoji652][emoji652]

[emoji780][emoji780]
 
Hili ndo tatizo la kufanikiwa nje ya matakwa ya mwenyezi Mungu,ila sina wasiwasi saaana kwa sababu najua hujayapiga picha ma RANGE ROVER yako,Hongera sana mi nna bike mbovu tu and am 30
 
Hili ndo tatizo la kufanikiwa nje ya matakwa ya mwenyezi Mungu,ila sina wasiwasi saaana kwa sababu najua hujayapiga picha ma RANGE ROVER yako,Hongera sana mi nna bike mbovu tu and am 30
Dume suruali
 
Why umesema mwanaume...hivi kwenye kazi uwa kuna kiwango tofauti cha Salary ktk Genda?...mimi nahc kila.mtu uwa ana Hapness yake..so ukiweza fulful hapness yako wewe upo poa kabisa. Kuna mtu hapness yake ni kuwa Dr. Tu..mengine ayo hata hayapo kwa kichwa chake..ila kwa Sasa Gari, Good Appartment and Simu ndo Basic needs.
Mkuu Hapness ndio nini wengine lugha imetupiga chenga
 
Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!

Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama haya[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 516378

Au

View attachment 516379

Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380

Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...

Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381

Na

View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua

Dr. H. Rweyemamu

Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom