Hivi mpangilio wa madaraka Kiserikali ukoje kiprotokali?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Kwa hii nchi yetu kumekuwa na stori nyingi za vijiweni , yaani Nani anariport kwanani Nani ni mkuu wa majeshi, Sasa leo nimekuta mabishano kijiwe Cha drafti, yaani wakuu watano wa hii nchi ya muungano ni Nani namba 1,2,3,4,5, hata Rais Samia aliwahi kusema hapo nyuma kabla ya kuwa mkuu wa nchi kuwa yeye ni namba 2 kwa wakati huo.
Sasa kwamimi Mambo ninavyoyaona arrangement hiko hivi ,

1. Rais wa Muungano
2. Rais wa Zanzibar
3. Waziri Mkuu
4. Makamu wa Rais Muungano
5. CDF - Mkuu wa Majeshi

Je, kiuelewa huo mpangilio hapo juu ni sawa au nimechemsha, na he ni upi mpangilio sahihi
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Makamu Wa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Waziri Mkuu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Jaji Mkuu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Speaker Wa Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Nashangaa saivi eti rais wa zenji ana kuja kuja kuzindua na kushiriki kwenye event za bara
 
Kwa uelewa wangu
1 Rais wa jamhuri ya muungano wa tz
2 Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar
3 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tz
4. Makamu wa rais 1 wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar
5 . makamu wa rais 2 wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar
6. Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Zanzibar
7 spika wa jamhuri ya muungano wa Zanzibar
8 jaji mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
9 Katibu mkuu kiongozi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Kiprotocal naamini ipo hivyo
Hao wengine huko chini itategea na muktaza wa jumuiko .
Hii nchi Ina vyeo vingi Sana .
Bila katiba mpya hivyo vyeo mpangilio wake ni haueleweki baada ya vyeo hivyo hapo juu.
Mfano tumuweke CDF hapo Juu.baada ya hivyo vyeo
Ukiwa Zanzibar kuna spika wa baraza la mapinduzi la Zanzibar na jaji mkuu wa zanzuba hawa wote kwa kule Zanzibar huyu cdf ataonekana ni mdogo kwao.
Halafu embu jiulize IGP siro na jaji mkuu wa Zanzibar au spika wa baraza la mapinduzi la Zanzibar nani mkubwa
 
yaani huna tofauti na mtu anayeweka matunda kwenye fridge halafu ghafla unaweka na tofali la block pamoja.

umeshawajiuliza kama CDF anafata nini hapo mkuu???

kuna

rais wa jamhuri 1
makamu wa jamhuri2
rais wa zanzibar 3
waziri mkuu 4
speaker 5
katibu mkuu CS 6
jaji mkuu 7
 
Protokali ipo hivi:
1,Rais wa jamuhuri ya muungano TZ
2.Makamu wa Rais wa muungano TZ
3.Waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano TZ
4.Spika wa Bunge la Jamuhuri ya muungano TZ
5.Jaji mkuu wa jamhuri ya muungano wa TZ.
Huo ndiyo utaratibu unaofuatwa ktk kuachiana kiti cha urais wa jamuhuri ya muungano wa Tz Kama aliyetangulia juu atakuwa nje ya nchi au akishindwa kwa namna yoyote kutekeleza majukumu ya kiti cha rais.
 
Kwa uelewa wangu
1 Rais wa jamhuri ya muungano wa tz
2 Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar
3 makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tz
4. Makamu wa rais 1 wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar
5 . makamu wa rais 2 wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar
6. Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Zanzibar
7 spika wa jamhuri ya muungano wa Zanzibar
8 jaji mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
9 Katibu mkuu kiongozi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Kiprotocal naamini ipo hivyo
Hao wengine huko chini itategea na muktaza wa jumuiko .
Hii nchi Ina vyeo vingi Sana .
Bila katiba mpya hivyo vyeo mpangilio wake ni haueleweki baada ya vyeo hivyo hapo juu.
Mfano tumuweke CDF hapo Juu.baada ya hivyo vyeo
Ukiwa Zanzibar kuna spika wa baraza la mapinduzi la Zanzibar na jaji mkuu wa zanzuba hawa wote kwa kule Zanzibar huyu cdf ataonekana ni mdogo kwao.
Halafu embu jiulize IGP siro na jaji mkuu wa Zanzibar au spika wa baraza la mapinduzi la Zanzibar nani mkubwa
Ukishasema Jamhuri ya muungano wa tz basi yuko juu ya rais wa znzb.
1. Samina
2. Mpango
3. Mwinyi
4. Majariwa
5. Jaji mkuu wa Jamhuri
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Makamu Wa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Waziri Mkuu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Jaji Mkuu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Speaker Wa Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Owk
 
Back
Top Bottom