Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 7,114
- 11,332
Sio lazima kumfuata mufti fuata Qur'an na hadithiBAKWATA ni mithili ya UWT, ni tawi la CCM.
Mufti anafuata maelekezo toka juu.
Sio lazima kumfuata mufti fuata Qur'an na hadithiBAKWATA ni mithili ya UWT, ni tawi la CCM.
Mufti anafuata maelekezo toka juu.
😂😂😂😂Kwanini wasitumie telescopes?
Na hivi leo mawingu nchi nzima wanaweza wakalaza tena sikukuu
Ila watu mna visa hatari, 😂😂😂😂Samahani, kumetokea tatizo la kiufundi unakohifadhiwa mwezi, wataalamu wetu wa Veta wanajitshidi kutatua tatizo na mwezi utarudi kwenye njia yake muda si mrefu.
Abaya zitachundaa,😂😂😂😂Watu tulivojiandaa na kesho mbona kiherehere kitatuisha🙆
Mkuu Mimi sihisiki na mfungo sema ratiba za kazi za watu si unajua tenaKwani kuna shida endelea kufunga mpaka pale mwezi utakapoonekana.
Yaan watesi wangetucheka😀😀Abaya zitachundaa,😂😂😂😂
Bado sijatoa ruksa, subiri vinginevyo nitapanga tarehe nyingine na hakutakuwa na kutumia busara.Moderator naomba Uzi huu ufungwe maana tayari taarifa imetolewa.
Qur'an 4:59 inasema:Sio lazima kumfuata mufti fuata Qur'an na hadithi
😂😂😂😂😂Yaan watesi wangetucheka😀😀
Ushasema "kama hawawaamrishi kufanya maovu"Qur'an 4:59 inasema:
"Enyi walioamini, mti Allah, na mti Mtume wake, na wale walio na mamlaka miongoni mwenu"
Ni muhimu kuwasikiliza viongozi as long as hawawamrishi kufanya maovu au dhuluma
Mufti ndio kiongozi wetu waislam humu Tanzania ..hivi wewe una elimu ya dini kuliko Mufti ... Na mufti aliwahi lini kuamrisha watu kufanya maovu ...kuhusu serikali za kidhalimu uislamu sahihi haifundishi uhanarakati wa kufanya mapinduzi bali kutoa elimu sahihi kulingana na sunna na quran ...Ushasema "kama hawawaamrishi kufanya maovu"
Sasa kama wanaifuata ccm siyo lazima kumfuata mufti wewe kodoa macho ukiuona kula sikukuu lawama za nini?
Kwahiyo mkuu mimi kama nilikodoa macho jana nikauona mwezi na Leo sikufunga nikala wewe na sheikh wako zubeli mtakuja nikamata?Mufti ndio kiongozi wetu waislam humu Tanzania ..hivi wewe una elimu ya dini kuliko Mufti ... Na mufti aliwahi lini kuamrisha watu kufanya maovu ...kuhusu serikali za kidhalimu uislamu sahihi haifundishi uhanarakati wa kufanya mapinduzi bali kutoa elimu sahihi kulingana na sunna na quran ...
Kwa huyu jamaa yeye huwa astafu,naona ni wa muda sana.
SpeechlessBAKWATA ni mithili ya UWT, ni tawi la CCM.
Mufti anafuata maelekezo toka juu.
Mwanangu kesho masheikh ubwabwa wanatembea na ndizi kwenye mifuko ya kanzu!Wakuu mwenye taarifa rasmi kutoka BAKWATA kama mwezi umeonekana ama la. Wengine hatutaki ugomvi na mabos wetu kesho.