Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,098
Mwanaume gani wewe unawaza kubeba mimba?
Mkuu, hizo ndiyo dalili za awali za mwanaume kuwa shoga.
Mwanaume gani wewe unawaza kubeba mimba?
Habari wana MMU na jf kwa ujumla.
Leo nimetokea kufikiria hivi kwa mfano wanaume kwa namna tulivoumbwa na hali ya ubabe na nguvu,ingekuwa sisi ndo tunabeba ujauzito,mambo yangekuwaje,wangapi wangezibeba kwa miezi tisa?
Mama ni mtu wa kumheshimu sana hapa duniani!
Dada Nivea wazo la huyu ndugu ni tata.jamaa ana wazo ila hao wajinga wawili hapo juu ndio hawajamwelewa
Haki ya mama...tungekoma......Habari wana MMU na jf kwa ujumla.
Leo nimetokea kufikiria hivi kwa mfano wanaume kwa namna tulivoumbwa na hali ya ubabe na nguvu,ingekuwa sisi ndo tunabeba ujauzito,mambo yangekuwaje,wangapi wangezibeba kwa miezi tisa?
Mama ni mtu wa kumheshimu sana hapa duniani!
Aisee!!!! Mimi binafsi nimeshtuka sana. Yaani siku hizi Gay elements are all over the place! Prolly has something to do with the food we eat or drinks...SMFH. So effin pitiful. Njemba nzima inawaza kubeba mimba...what's next?Mwanaume gani wewe unawaza kubeba mimba?
Aisee!!!! Mimi binafsi nimeshtuka sana. Yaani siku hizi Gay elements are all over the place! Prolly has something to do with the food we eat or drinks...SMFH. So effin pitiful. Njemba nzima inawaza kubeba mimba...what's next?
I refuse to think outside the box on this brah. #SpoilerAlert .Great thinkers see it diffently...think outside the box man!
Mkuu, hizo ndiyo dalili za awali za mwanaume kuwa shoga.
Huyu jamaa atakuwa crazy hata kama siyo asilimia miamoja buta ana elementi za u-crazy.
Huwezi ukamdhihaki Mungu.
Mungu angeamua wote tuzae haijalishi mwanamke au mwanaume tungezaa bila maswali yoyote. Acha u.k.u.d.a wewe.
Si dalili huyo ni shoga mzoefu wa kusuguliwa khaaa uchafu, hebuafikilie anavyo muingizia mkewe ajigeuzeyeye, Mihata tukilaka na njemba akaniwekea mguu zinapigwa
Big up,Nivea!
Una akili sana wewe!!