Habari wana MMU na jf kwa ujumla.
Leo nimetokea kufikiria hivi kwa mfano wanaume kwa namna tulivoumbwa na hali ya ubabe na nguvu,ingekuwa sisi ndo tunabeba ujauzito,mambo yangekuwaje,wangapi wangezibeba kwa miezi tisa?
Mama ni mtu wa kumheshimu sana hapa duniani!
Leo nimetokea kufikiria hivi kwa mfano wanaume kwa namna tulivoumbwa na hali ya ubabe na nguvu,ingekuwa sisi ndo tunabeba ujauzito,mambo yangekuwaje,wangapi wangezibeba kwa miezi tisa?
Mama ni mtu wa kumheshimu sana hapa duniani!