Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,488
- 79,854
NItapotea na mtanimiss kweli kweli. SubiriIla we umezidi itakuwa we ni ka mke ka moderator so you moderate us!..😅
NItapotea na mtanimiss kweli kweli. SubiriIla we umezidi itakuwa we ni ka mke ka moderator so you moderate us!..😅
tuko inbobo ya JF tunaangaikia mbususu sio mchezo samaki wapatikana mbali kinaniYaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
HamnaKushinda kwao kuna kuathiri chochote?
tangu nilijue hilo nishakuwa mpole sikuizna tukijachanganya tunaweza tukanana na wazee wetu bila kujua
Tunakua tunashinda JF.Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Sema utakuja na ID nyengine ambayo utatushia maisha,utatuonyesha jeuri,kiburi,ufedhuli haitatosha utatufanya tuijue shubiri ni nini!!,utatushikisha adabu!,zile hasira zako utazimalizia kwenye hiyo id na kubwa kuliko utatuchanganya kwenye jinsia tusijue tukutongoze au ututongoze!! Na Kabali ya mwisho kabisa utawasababishia member wengi kula ban mbaniko!....😅NItapotea na mtanimiss kweli kweli. Subiri
Bado nafikiriaWewe unafikiria tunafanya nini?
Hapana bana sipo hivyo.Sema utakuja na ID nyengine ambayo utatushia maisha,utatuonyesha jeuri,kiburi,ufedhuli haitatosha utatufanya tuijue shubiri ni nini!!,utatushikisha adabu!,zile hasira zako utazimalizia kwenye hiyo id na kubwa kuliko utatuchanganya kwenye jinsia tusijue tukutongoze au ututongoze!! Na Kabali ya mwisho kabisa utawasababishia member wengi kula ban mbaniko!....😅
ShindwaaaSawa tulia pia ......Demi nna namba zake unataka
Mm na ww ni marafiki wakitambo tu hapa JF......akitaka tu tunampasia elewa maanA yanguShindwaaa
Sawa najua utapotea ukiwa kama mshangazi halafu utarudi ukiwa Binti kigoli wa miaka 19 mwenye chuchu kama mlima Kilimanjaro... Dunia inamengi na walimwengu ndo wenye hayo mengi..😂Hapana bana sipo hivyo.
Mkongwe mie staki ID mpya. Halafu ntanigundua tu maana siwezi kufake..
Nilishawahi kuachana na ID yangu ya 2013 najuta hadi leo . So nikipotea ujue nimepotea kikwelikweli.
Nikifanikiwa kutoka mloganzila salama nitarudi kama hivyo ulivyosema😅Sawa najua utapotea ukiwa kama mshangazi halafu utarudi ukiwa Binti kigoli wa miaka 19 mwenye chuchu kama mlima Kilimanjaro... Dunia inamengi na walimwengu ndo wenye hayo mengi..😂
Hiyo avatar yako huwa naonaga utakua wale wamama wa itakadi sana nyumbani sheria nyingi unalianzisha muda wowote, samahani lakini ni mtazamo tuWewe unafikiria tunafanya nini?
Kama utagawa namba yangu bila ridhaa yangu basi haukuwa rafiki yangu bali aduiMm na ww ni marafiki wakitambo tu hapa JF......akitaka tu tunampasia elewa maanA yangu
Nafunga na kusali urudi kama mzimu uliochoropoka kwenye mtumbwi wa vibwengo..😅Nikifanikiwa kutoka mloganzila salama nitarudi kama hivyo ulivyosema😅
Nitaanza na wewe, lazima udateNafunga na kusali urudi kama mzimu uliochoropoka kwenye mtumbwi wa vibwengo..😅