Hivi Michael Jackson alikuja Tanzania na kugoma kushuka uwanja wa ndege na kusalimiana na Mzee Mwinyi kisa Tanzania hewa yake ni chafu?

Ukweli ni kuwa yule kijana alikuwa ametafuta ugonjwa wa makusudi alipobadilisha umbile la pua yake iwe kama ya wazungu.
Pua baadae ikawa haifanyi kazi vizuri kupitisha hewa na ikawa ni mateso makubwa pamoja na pesa nyingi alizokuwa nazo.
Kila mara na kila anapokaa alikuwa hajihisi vizuri alikuwa alijishika shika pua yake kama kuipa nguvu apumue vizuri.
Ndio tatizo alilikuja nalo Tanzania.Watu wakaona kama anaoa kinyaa kwa kutua Tanzania.
Hivi ni kweli alibadili pua?
 
M
Ni kweli vyombo vya habari kwa wakati ule viliripoti taarifa hiyo kuwa jamaa kasema kuna harufu mbaya.

Ila alishuka Airport na kufikia KILIMANJARO HOTEL ( enzi hizo ) na katika ziara hiyo alionana na rais wa wakati ule ( rip Ally Hassan Mwinyi ) kama kwenye picha inavyoonesha.

Lkn inaelezwa HAKUWA NA FURAHA, ila alipopelekwa kwa watoto wenye mtindio wa UBONGO SINZA huko alionesha kufurahi nao na kuimba nao nyimbo.

Pia alipanga kwenda kutembelea mbuga za wanyama SERENGETI lkn aliahirisha safari hiyo baada ya kujulishwa kuwa atatumia ndege yake kubwa mpaka uwanja wa ndege KIA. kisha atapanda ndege ndogo mpaka MBUGANI hapo AKAGOMA.

NA kuahirisha ziara nzima ya Mbugani na kuamua KUONDOKA .NA ndipo alipotoa kauli ya harufu mbaya.
Mbona kwenye wimbo wa Earth Song kuna picha zinaonesha mbuga ya Serengeti na Manyara
 
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee RuksaView attachment 2921940

If there is fake news; imagine how bad the history has been distorted.
 
M

Mbona kwenye wimbo wa Earth Song kuna picha zinaonesha mbuga ya Serengeti na Manyara

Ilichukuliwa Tanzania; ile sehemu ya Elephants na forest

MJ alikuwa anaipenda sana Africa

Wengi wanadhan MJ alikuwa anajichubua but uzushi mtupu

MJ had skin disorder, Virtiligo , skin disorder that destroys pigmentation

Hizo story kuwa aliona TZ chafu ni story za Chadema na Tundu Lissu
 
Ila reality dar ina hewa nzito... nakumbuka 2018 nilivyoingia hili jiji nilipofika Bagamoyo nilipokelewa na hewa nzito kama ya mvuke wa maji ya moto wenye harufu ya shombo la samaki nikajua sasa nimeshaingia Dar.... Ni ngumu kuelewa kama hujawahi kukaa nje ya Dar kwa muda mrefu alafu ndo itokee unakuja tena utanielewa.
 
  • Thanks
Reactions: apk
mdogo wangu hata mimi hiyo story nikiisikia ila hakugoma kushuka inasemekana siku anatimba MJ kuna sehemu ya jiji walikuwa wamechoma taka sasa ule moshi ukawa unaelekea maeneo ya airport ukichanganya na ule moshi wa pale feri wa kukaanga samaki ikawa hewa mchanganyiko kama anajua zaidi aongezee nyama
Ww jamaa utakuwa una matatizo ya akili, yn moshi wa kukaanga samaki utoke ferry hadi airport Na ww unaamini kweli.?
Afu unaweza kuta ety na ww n mama wa familia na wanakutegemua 🗑️
 
Ni kweli vyombo vya habari kwa wakati ule viliripoti taarifa hiyo kuwa jamaa kasema kuna harufu mbaya.

Ila alishuka Airport na kufikia KILIMANJARO HOTEL ( enzi hizo ) na katika ziara hiyo alionana na rais wa wakati ule ( rip Ally Hassan Mwinyi ) kama kwenye picha inavyoonesha.

Lkn inaelezwa HAKUWA NA FURAHA, ila alipopelekwa kwa watoto wenye mtindio wa UBONGO SINZA huko alionesha kufurahi nao na kuimba nao nyimbo.

Pia alipanga kwenda kutembelea mbuga za wanyama SERENGETI lkn aliahirisha safari hiyo baada ya kujulishwa kuwa atatumia ndege yake kubwa mpaka uwanja wa ndege KIA. kisha atapanda ndege ndogo mpaka MBUGANI hapo AKAGOMA.

NA kuahirisha ziara nzima ya Mbugani na kuamua KUONDOKA .NA ndipo alipotoa kauli ya harufu mbaya.
Hajawahi kutoa kauli hiyo ety kuna harufu mbaya, MJ alienda mbugani. acheni useng3
dogo hongera kwa udadisi

ni hivi

wakati MJ amefika bongo ilikuwa ni siku kubwa na ya furaha sana kwa nchi yetu

maana ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mtu huyo ambaye kwa wakati ule alikuwa mwanamuziki mashuhuri zaidi wa ngazi ya kidunia kuwahi kufika bongo

alipokewa kwa heshima kubwa kama hizi unazoziona kwa viongozi wakubwa wanapokuja kutoka huko nchi za ng'ambo

ujio wake ulirushwa mubashara (live) kwa matangazo ya radio ya taifa (hii tbc ya sasa wakati huo ikiitwa redio tanzania). maana yake yalisikika katika miji yote mikubwa na midogo, vitongoji na vijiji yaani kule kote ambako masafa ya radio hiyo yaliweza kufika. TV zilikuwa bado ila ni wazi kama zingekuwepo basi tukio hilo lingerushwa kwa watz mubashara.

alipokewa na aliyekuwa rais wa wakati huo huyu rais mwinyi marehemu, mungu amrehemu.

macho na masikio ya mamia ya watzania na serikali yao kwa ujumla kwa wakati ule yalikuwa kwa msafara wa mheshimiwa MJ.

hayo uliyoambiwa kuhusu MJ kushika pua ni ya kweli sio uongo. Mara baada ya kushuka kwenye ndege MJ alionekana kupata shida na hewa ya bongo na mara nyingi alionekana akiiminyaminya pua yake kuashiria pengine alikuwa akipata hewani ambayo haikuwa sawa kwake. hali hii kwa kiasi ilizua maswali kama unavyoweza kutegemea hata ingetokea leo hii.

kuhusu kwanini MJ alikuwa anaminyaminya au kushikashika pua. Je hewa ilikuwa si rafiki au ilikuwaje hiyo kila mmoja atabaki kuwa na tafsiri yake lakini ukweli anaujua yeye mwenyewe MJ na mungu wake.

kwa uchache hali ilikuwa hivyo.

karibu.
Hayo mambo ya kushika pua na kuziba pua na mdomo hy ni kawaida yake hata ukiwa kwake, alishawahi kuhojiwa na kusema kuna muda pua yake inamkosesha uhuru kutokana na operesheni
Vipi kuhusu habari ya popobawa zilikuwa na ukweli au nayo ilikuwa fix tuu
Popobawa ni chai tuu hakunaga hizo ishu
🤣😂 pale huwa napita kwa kukimbiaa, sijui huwa pananuka nini aiseee

Lakini kuna watu pale muda wote wamekaa comfortably kabisaa Duuhh

Harufu kaliiiiii balaaa
Sasa pale ferry pana harufu gn mbaya ad mwanaume mzima uanze kukimbia.? Nyie ndo mkiitwa upinde mnaanza kukasirika
 
Hy haina tofauti na ile story ya wanafunzi wa kike kumbaka mlinzi wa shule, zote hizo ni chai tuu
 
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....😂😂

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya😂😂 kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee RuksaView attachment 2921940
Nijuavyo: MJ aliwahi kufanya 'surgery' ya uso wake na kubadili muonekano; sasa inasemekana joto la Dar lilimuogopesha na kuona kama pua inamomonyoka. Na pia MJ pamoja na umaarufu wake lakini alikuwa na uso wa aibu, hivyo alizoea kushusha kofia chini kuziba macho. Jambo dhahiri alilogoma kule KIA ni kupanda ndege ndogo kwenda mbugani kurekodi, maana alitegemea kuwa angetumia ndege kubwa. Badala yake 'crews' wake ndiyo walienda yeye alibaki hotelini.
 
Pale Ferry mpaka sasa ukifika harufu ni mbaya sana
Ile harufu huwa inanikumbusha kpnd nipo chuo miaka hioo nilikula papuchi ya mtoto mmoja wa uswahilini huko uzaramoni baada ya kumuhonga buku. Aisee ile nyapu ilikua inatema kama hako ka harufu ka hapo feli. Na sijui pale posta kuna jini gn, ile harufu huwa haivuki maeneo hayo ukiwa posta kuna hewa safi sana unless madogo wa IFM wawe wanakatiza. Soge ferry sasa, utakimbia
 
Harufu ya amonia na phosphorous.Ni harufu maalum za maeneo ya bahari na wala sio mbayo.
Watu wa kuja Dar ndio huwa wanaisikia kwa mara ya mwanzo wanaona ni mbaya.
Acha uongo. Nimetembea nusu ya pwani za afrika, hakuna harufu kama mnuko wa ferry pale. Yaan ni kama kitilapia kilichokubuhu
 
Back
Top Bottom