Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hio itakua world war 3,watakuja kutokwa mapovu huku..

Lakini kwa nini wakasirike ilhali tutakuwa tunajengana?

Suala la usafi wa mwili halina jinsia.

Ni la wote.

Sasa kama watu hawatopata mrejesho itakuwa vigumu kurekebisha palipo na dosari.
 
mito, mie napenda kunusa vikwapa. Ili kupata stimu lazima nipitishe pua kwapani...teh!
Anyway, hobbies zinatofautiana. Wapo wadada/wakaka, ambao wakioga na kupaka mafuta tu inatosha, na hawajali jinsi mwili unavyotoa harufu, hawajali ni vipi wengine wanawahisi vipi.
Kwa hiyo hapa kuna characters tofauti, kila mtu anaona kitu flani ni priority kwake. Wengine usafi sio kitu, kupaka au kutumia vipodozi sio swala la msingi.

Njoo tulale bwana, muda wa stimu huu.
 
Last edited by a moderator:
mito, mie napenda kunusa vikwapa. Ili kupata stimu lazima nipitishe pua kwapani...teh!

phbalancesmell.jpg
 
Kuna mtu akiingia ofisini au kwenye gari lazima ufungue madirisha.....

Leo kuna mdada mmoja wa Kiajemi nilimpa lifti....

Nilitamani asishuke!

Mpaka saa hizi gari bado inanukia marashi yake,
 
Hahaaaa leo kila mdada ananishangaa nilivyowatolea uvivu

Halafu sijui ni kwanini nimekumbuka siku ileeeee, ulivyotowaga honyo serious kwa ke kukaaa mbali na hubby wako, ndo hadi nikajua uko married teh teh

Wala sijashangaa haya makavu, nashangaa tu ulivozama kwenye vyumba vya wadada teh huwa umekaa kaa kitakatifu fulani ujue mmh haya bana
 
Wala sijashangaa haya makavu, nashangaa tu ulivozama kwenye vyumba vya wadada teh huwa umekaa kaa kitakatifu fulani ujue mmh haya bana

Hicho kipengele mie nilikichunia tu, mito wewe hizo tabia za kuimgia chumbani kwa wadada umeanza lini?
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana siku ile nimepanda gari yako ulifungua vioo eeh?Itabidi ninunue tu hata cobra japo situmiagi

hapana....siku ile nilikuwa na mafua AC inaumiza...siwezi kukufanyia hivyo.
 
Hicho kipengele mie nilikichunia tu, mito wewe hizo tabia za kuimgia chumbani kwa wadada umeanza lini?

Itabidi niipitie upya ile top ten ya hazband material kuna watu hawatakiwi lol
 
Last edited by a moderator:
mito, mie napenda kunusa vikwapa. Ili kupata stimu lazima nipitishe pua kwapani...teh!
Anyway, hobbies zinatofautiana. Wapo wadada/wakaka, ambao wakioga na kupaka mafuta tu inatosha, na hawajali jinsi mwili unavyotoa harufu, hawajali ni vipi wengine wanawahisi vipi.
Kwa hiyo hapa kuna characters tofauti, kila mtu anaona kitu flani ni priority kwake. Wengine usafi sio kitu, kupaka au kutumia vipodozi sio swala la msingi.

Mimi binafsi sipendi perfume unless ni special occasion..
Kuna ile harufu ya mtu ya asili naipenda,na nna uhakika hakuna ninaemkwaza...
 
Last edited by a moderator:
kibaya zaidi mhusika anakuwa hajijui....acha utani hali inakuwa mbaya kwa kweli

Khaaah cha mtu hakimtapishi, ndio maana sipandagi magari ya lifti mimi, kunyanyapaana tu!
 
Lakini kwa nini wakasirike ilhali tutakuwa tunajengana?

Suala la usafi wa mwili halina jinsia.

Ni la wote.

Sasa kama watu hawatopata mrejesho itakuwa vigumu kurekebisha palipo na dosari.

Wanakuwa wameguswa na topic wengi wao japo si wote na hawako tayari kubadilika... Ni tofauti kabisa na reaction ya wadada katika ile thread kuhusu usafi
 
Kwani yeye ni shimo la choo..?

Kweli tunatofautiana....

hata mimi niko hivup so sioni cha kushangaa

Dada B probably depressed.

Dada A probably overwhelmed

Hahaaa kumbe nami leo nimetoa makavu live eeh, ila unitetee sista wakinisuta

Mito hivi ni ke tu nso wanatakiwa waseme eeeeeh. nimejisahau oooops

eeeenh hiyo dada haipo hapo!!! kwenye avatar ni shemeji yako tu

Samahani sana kama nitawakera. Lakini lazima niweke wazi leo.

Suala la kunukia au kupaukwa sio wanawake tu hata wanaume, unakuta mwanamme nywele hachani hakati or hapaki mafuta, basi hata baby oil mtu inamshinda?
Jengine suala la kunukia, nchi yetu ya joto tena kali kutwa tunatiririka majasho, wako wanaume kwa siku anaoga mara moja, tena humu JF kuna mtu alitoa mada yake.

Tatu wanaume hatutumii lotion, wala body spray, tunanuka, binafsi natumia body spray lakini inafika time I can feel myself nanuka, so time ninayo toka kama asubuhi nilipata wasaa mchana naruka home fasta napiga shower. Kwa siku mara tatu inategemea au zaidi, na nikipata wasaa naenda kuoga baharini kwani maji yake ni dawa katika mwili.
Some days natumia ndimu kujisugulia mwilini kabla ya kuoga, ni dawa ya kutibu ngozi na harufu mwilini.

Sijui wewe ambae hutumii hivi vitu unakuwaje na joto la nyumbani bongo?

Kuna siku nimesafiri, kwa bahati mbaya nikapata emirate, mara nyingi hupanda Oman air kwa sababu inapita zanzibar, na wazanzibari mashallah kwa manukato full ma uddi yale mambo ya majuto 😀
Siku nilio panda emirate ilikuwa balaa wabongo wengi ndo wanayo ipenda, kabla hatujaondoka zimepigwa air freshner kwanza, harufu mtindo mmoja, dah hii ndo bongo yetu.

Mambo panda basi midas za asubuhi au jioni omba ukae na mdada kwapa wazi, utajuta, halaf pua yako iwe kwenye kwapa yake, si unajua bus linavyo jaa?

Ukweli ni kwamba elimu ya kutumia manukato watanzania hatuna, tunaoga kweli lakini it's not enough, asilimia 60 au zaidi hawatumii manukato.

Samahani tena
 
Back
Top Bottom