Uniletee tu peke angu, atoto usimleteeDeodorant tu!!! aaah hii umepata kabisa maadamu umenisamehe, yaani usijali kabisa dadaanga
Uniletee tu peke angu, atoto usimletee
Mmh naona ushaanza kunipita levels khaa. Mzungu wangu ataniletea na mieMie Nyani Ngabu kasema ataniletea digirii na pedi za kikwapa.
Kaka mito ukitoa tu wale wasionukia pia kuna tatizo la misuse ya hizo perfume
Perfume ya usiku mtu kajimwagia mchana,perfume nyingine kaliiiii mtu akipita lazima aache chafya na wengine wanaoga hizo perfume jamaniii mnatuumiza wengine
Uchaguzi mzuri wa manukato ni muhimu
Mmh naona ushaanza kunipita levels khaa. Mzungu wangu ataniletea na mie
Teh yeye ni hela tuuuuuatoto anavyopenda hela, nikimpelekea ataiuza tu najua
Sipoi hataHahahaaaa!! Poe mweeh!
Teh yeye ni hela tuuuuu
Sipoi hata
Haha mwehu wewe.Basi chemka tu.
Basi sawa yakhee! Ukipanda tena emirate uniletee namie marashi angalau ninukie japo kidogo ati
hata kwenye daladala mnatupa shida.....unakuta umevaa ile top yako haina mikono,umependeza ila kikwapa sasa,huwezi amini kama cha mdada mrembo!
wengine mnakera mna zile top zenu za kubana mikono mifupi hivi basi pale kwenye kwapa pameloa! aaaghhhh so disgusting1
sasa ukutane na njema nayo inatema kama beberu, ukitoka mbagala hadi kariakoo umechoka utafikiri umesafiri dar-mtwara enzi za nyerere!!
Kaka mwenyewe wewe majukumu dadi kooni, kaka mie sina dressing table, ya kazi gani sasa na sina vya kuweka? Kopo langu la baby care linanitosha kabisa, sasa hilo tu ndilo la kununulia dressing table? Hiyo hela ya dressing table ni bora nikamuongezee dogo kwenye ada.
Uncle magu kafuta ada
Dogo we unajua ada ni chekechea tu? Au kwenu wote mnaishia form4???
Duuuh...Huu mwezi uishe tu..Naona umekukalia vibaya..Nwei ya sadaka ntakupaSina aisee, fanya namna basi.
Usijali, mbona yako tele jaribu kuulizia perfume za haliudi or za UAE hazina sprit kwa wanawake ni nzuri zaidi kuliko manukato ya kizungu. 😀😀
Mimi nataka ya kupewa ndio tamu bana. We ukienda uniletee