Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

My kaka mito kwa hiyo wewe shida yako ni kuniona tu kila siku nimechange hata kama ni ronya ronya eeh?

Hahaaa sista au we unapenda kuwa predictable? basi sawa kama hupendi 'nitoke vipi'
Ila wanaume wengi wanapenda wadada mkitoleza, ingawa sisi si kivile na siyo muhimu wala
 
Hahaaa sista au we unapenda kuwa predictable? basi sawa kama hupendi 'nitoke vipi'
Ila wanaume wengi wanapenda wadada mkitoleza, ingawa sisi si kivile na siyo muhimu wala
Teh yani kuanzia leo nimeanza kutokuwa "predictable". Sivai tena charanga na chachacha...Yani wewe looh
 
Duhh!!! Itabidi nikutafute unipe somo la mikato ya kitaa......ila hivi vitu vya mchina bana tatizo havichelewi kukuabisha yaani unaweza kuwa sehemu ya maana Mara kitu kikafumuka P yote ikashuka ,bora Mimi niliendelee na vitu durable nyie endeleeni kunisema tu na pair mbili zangu hhhahhahanan na nilivyi bonge la mtu mchina hachelewi kunitenda

Basi hivyo durable nunua vingi mkuu kama uwezo upo, nilisema mchina kwa kuzingatia uwezo wetu tulio wengi. Ila yote tisa, kumi ni kwamba mambo ya kuwa predictable si mazuri kwa ke bana, hata kama utatembea na price tag zake tutaongea tu!!
 
everlenk, luv u sana kipenzi. Nimekuombea sana leo, ukitunze tu kwa ajili yangu manake hicho ni kiunganishi chetu. atoto amenitongoza sana lakini niko imara, ndio maana leo nikakuombea sana yani. Saivi hata sisy darling Heaven Sent simuamini sana...

Asante sana mpenzi yaani lov u mingi mingi
 
Last edited by a moderator:
everlenk, luv u sana kipenzi. Nimekuombea sana leo, ukitunze tu kwa ajili yangu manake hicho ni kiunganishi chetu. atoto amenitongoza sana lakini niko imara, ndio maana leo nikakuombea sana yani. Saivi hata sisy darling Heaven Sent simuamini sana...

Nimecheka kwa nguvuuu!! Eti nimefanya nini??
 
Last edited by a moderator:
Swahiba nilikuwa bize bize ndio naiona leo.
Mm nanukia balaa ukinikumbatia tuu kutwa nzima utakuwa unanukia
 
Swahiba nilikuwa bize bize ndio naiona leo.
Mm nanukia balaa ukinikumbatia tuu kutwa nzima utakuwa unanukia

Karibu sana swahiba, nilikumis sana, hadi nikahisi jamaa kakutaiti nini

Hahaaa safi sana swahiba, naona umekuja na ubora wako ule ule
 
jana sumbai kaniletea dazen vip alinunua kwako? Au ni janja zake ili nisije dukan kwako?
Sijaiona sura yake dukani kwangu..Nadhani hizo zitakuwa hila tu..Uwe unapita bana..Nimeshusha mzigo mpya kutoka japan..Hizo ukivaa unaweza hata kumsahau huyo kijana..Mana zinatoa raha hatari
 
Hivi wewe unapaka poda ?

kama unapaka kwa nini upake wakati mimi sipaki ?

kama hupaki je kwa nini hupaki wakati Ommy dimpoz anapaka hadi wanja ??

Nataka jibu

Inashangaza sana...
 
Back
Top Bottom