mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
Kwa kweli imebidi tu nije kulianzishia mada manake najiuliza sipati jibu kabisaaa!! But I don't intend to offend anybody!!
Kuna wadada wananichangazaga sana japo nakiri wazi ni very small population, lakini still najiuliza why wanabehave hivi?
Ngoja tu nitumie lugha ya kikubwa ili hata kama wamo humu JF basi wasiweze kujulikana, lakini ujumbe uweze kuwafikia na waweze kujirekebisha if possible.
Mdada wa kwanza namwita A, huyu mdada ameolewa, ana mtoto mmoja kama sikosei, ni msomi wa degree na ana kazi yake nzuri tu. So kipato kwake siyo ishu kabisa. Tatizo bana huyu dada hajipendi kabisaaa, yaani hadi ile ya kutia kinyaa. Always ngozi yake imepauka pau, mwanzoni nilidhani kasahau kupaka lotion, kumbe bana ndo alivyo, yaani yeye always ni mpauko. Basi acha ngozi basi, nywele nazo ni vile vile, no matunzo. Nguo anazovaa utafikiri hana kazi, daaah! Niliwahi kufikiria ningekuwa mumewe, nikagundua nafikiria the impossibles, nikabaki tu kusema No Way!!
Haya mdada wa pili namwita B. Huyu naye ni msomi wa degree pia, ana kazi yake pia nzuri tu, yeye hana hata mume, but she is still young anyway, nadhani yuko between 26-28. So naye kipato siyo ishu. Ila huwezi kuamini huyu dada hana hata pafyumu chumbani kwake, achilia mbali deodorant sijui nini. Ila msiniulize niliingiaje chumbani kwake. Viatu ana pea mbili, so anasomeka kabisa atatokea vipi!! Nguo sasa ni kituko, yaani nguo ni zile za ajabu ajabu tu, na ambavyo anavaa bila mpangilio sasa daaah!! Sidhani kama anaoga daily. Chumba chake ni simple zaidi ya simle nadhani, manake yale mazaga zaga tuliozoea kuona vyumbani kwa wadada, yeye kwake walaaaaa!!! Kuna wakati nafikiriaga suppose natafuta mchumba then nikakutana na huyu, for sure nitammwaga tu over time hakuna namna.
Nachoshangaa zaidi:
Wao (A na B) wanajiona wako poa kabisa, yaani hata hawajishtukii wala nini....life goes kama kawa
Najua usafi kwa kiasi kikubwa unategemea na malezi, ila ina maana huko walikopita sijue shule mabwenini sijui darasani walishindwa kukopi na kupesti kwa wenzao?
Najiulizaga huyo bwana wa A na boyfriend wa B, wao wanaona sawa tu? au nao ni wachafu vile vile? bahati mbaya siwajui wapenzi wao
Hivi mdada na elimu yako na pesa yako unashindwaje kunukia kwa mfano? yaani we upo upo tu na umelidhika, khaaaa!!
Au sijui ni matambiko?
Hebu naombeni mawazo na uzoefu wenu kuhusu hili aisee.
Kaka mkubwa Eli79 ulishakutana na hizi mambo bro?
Hebu sumbai twambie kama cute b ananukia bana
Au Kaboom ulimwacha atoto sababu ya hili? hivi binti yako Heaven Sent unamfundishaga na usafi kweli? usikute umekomalia akili za darasani tu
Mama mtafiti Blue G hili vipi, ulishaga lifanyia utafiti? hebu tupe mrejesho bana
What is you experience my dear NANDERA?
Ofcourse na wengine wote mnakaribisha
Kuna wadada wananichangazaga sana japo nakiri wazi ni very small population, lakini still najiuliza why wanabehave hivi?
Ngoja tu nitumie lugha ya kikubwa ili hata kama wamo humu JF basi wasiweze kujulikana, lakini ujumbe uweze kuwafikia na waweze kujirekebisha if possible.
Mdada wa kwanza namwita A, huyu mdada ameolewa, ana mtoto mmoja kama sikosei, ni msomi wa degree na ana kazi yake nzuri tu. So kipato kwake siyo ishu kabisa. Tatizo bana huyu dada hajipendi kabisaaa, yaani hadi ile ya kutia kinyaa. Always ngozi yake imepauka pau, mwanzoni nilidhani kasahau kupaka lotion, kumbe bana ndo alivyo, yaani yeye always ni mpauko. Basi acha ngozi basi, nywele nazo ni vile vile, no matunzo. Nguo anazovaa utafikiri hana kazi, daaah! Niliwahi kufikiria ningekuwa mumewe, nikagundua nafikiria the impossibles, nikabaki tu kusema No Way!!
Haya mdada wa pili namwita B. Huyu naye ni msomi wa degree pia, ana kazi yake pia nzuri tu, yeye hana hata mume, but she is still young anyway, nadhani yuko between 26-28. So naye kipato siyo ishu. Ila huwezi kuamini huyu dada hana hata pafyumu chumbani kwake, achilia mbali deodorant sijui nini. Ila msiniulize niliingiaje chumbani kwake. Viatu ana pea mbili, so anasomeka kabisa atatokea vipi!! Nguo sasa ni kituko, yaani nguo ni zile za ajabu ajabu tu, na ambavyo anavaa bila mpangilio sasa daaah!! Sidhani kama anaoga daily. Chumba chake ni simple zaidi ya simle nadhani, manake yale mazaga zaga tuliozoea kuona vyumbani kwa wadada, yeye kwake walaaaaa!!! Kuna wakati nafikiriaga suppose natafuta mchumba then nikakutana na huyu, for sure nitammwaga tu over time hakuna namna.
Nachoshangaa zaidi:
Wao (A na B) wanajiona wako poa kabisa, yaani hata hawajishtukii wala nini....life goes kama kawa
Najua usafi kwa kiasi kikubwa unategemea na malezi, ila ina maana huko walikopita sijue shule mabwenini sijui darasani walishindwa kukopi na kupesti kwa wenzao?
Najiulizaga huyo bwana wa A na boyfriend wa B, wao wanaona sawa tu? au nao ni wachafu vile vile? bahati mbaya siwajui wapenzi wao
Hivi mdada na elimu yako na pesa yako unashindwaje kunukia kwa mfano? yaani we upo upo tu na umelidhika, khaaaa!!
Au sijui ni matambiko?
Hebu naombeni mawazo na uzoefu wenu kuhusu hili aisee.
Kaka mkubwa Eli79 ulishakutana na hizi mambo bro?
Hebu sumbai twambie kama cute b ananukia bana
Au Kaboom ulimwacha atoto sababu ya hili? hivi binti yako Heaven Sent unamfundishaga na usafi kweli? usikute umekomalia akili za darasani tu
Mama mtafiti Blue G hili vipi, ulishaga lifanyia utafiti? hebu tupe mrejesho bana
What is you experience my dear NANDERA?
Ofcourse na wengine wote mnakaribisha
Last edited by a moderator: