Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,798
Naanzaje kunikia dada wakati majukumu yamenikaba koo.
eeeenh hiyo dada haipo hapo!!! kwenye avatar ni shemeji yako tu
Naanzaje kunikia dada wakati majukumu yamenikaba koo.
eeeenh hiyo dada haipo hapo!!! kwenye avatar ni shemeji yako tu
Naanzaje kunikia dada wakati majukumu yamenikaba koo.
Sasa mwanaume unawekaje avata ya kike? au ndio biashara matangazo?
Hahaaaaa umenichekesha balaaa, kwahiyo na wewe hunukii dadaangu?
Ila tuache utani sista, we kweli hujawahi kutana na wadada wa hivyo? hebu recall vizuri huko mashuleni sijui chuo, huko mabwenini
Hapo umeniongelea mimi mwenyewe sio wala kukutana nao, sasa ndio nawaza hivi kwanini hamtuachi tupumue?
Hela zenyewe kila siku wanapeana kicheni pati humu wasitupatie, wakati wanajua kabisaaa mwanamke gharama, kila kiungo gharama, tukijinyima maisha yaende wanatunanga tena!! Jamani nyie wanaume mnataka nini?
, we kweli hujawahi kutana na wadada wa hivyo? hebu recall vizuri huko mashuleni sijui chuo, huko mabwenini
Mkuu sijamwacha dada yako..Tumeachana..Mapenzi yetu uwa ya mkataba..Ila yuko poa..Kujipenda kwake sio adhabu..Tatizo lake kubwa ni kupenda pesa
Umenena vyema..ukimuona mtu anahela na juu mpaka chini, nje mpaka ndani haeleweki ujue ni mchafu kupindukia!
Wengi wa hivyo hawana uwezo. 5000 ya spray unaona ndogo ye itabidi kwa wiki moja aSacrifice lunch kupata spray.
Wengine hawafundishwi na mama zao. wanajifunzia usafi kwa wenzao shule, chuo.
UsiUnderestimate mchango wa msongo wa mawazo katika hili.
Hahaaa we mbona nina uhakika unanukia dadaangu, dressing table yako naijua ilivyosheheni vipodozi, halafu utakosaje hela ya pafyumu wakati kakako tupo!!??