Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

wengine tunanukia maziwa tu, hizo perfume tunawaachia wazungu.
 
i can imagine, tena we mzee wa usafi classic

Usafi wa mwili ni jambo ninalolitilia maanani sana.

Mpaka wakati mwingine huwa nadhani labda napitiliza.

Na kwa Tanzania usafi wa mwili au ukosefu wake ni janga la kitaifa.

Watu wengi mno hunuka vikwapa lakini inavyoelekea ni wachache ambao hukerwa na hiyo harufu.

Kuna kipindi nilifikiria kuanzisha kampeni ya kutokomeza vikwapa.
 
Dah mito kakaangu leo umeniacha hoi

Ila acha niseme haya yangu unajua swala la kujipenda ni hobby kuna mtu bila kujiangalia yukoje ananukiaje hata dukani humtumi na yupo mtu anaoga anafua nguo freshi lakini kumkuta anajipaka sijui makeup au anapangilia nguo azivaeje ameshisheje utasubiri sana na unakuta ana kila kitu kwenye dressing na akiona mwenzie kapendeza na ananukia anatamani sana ila ndo hivyo hobby imempita kushoto

Wengine wana aleji na manukato eiza kwa sababu ya mimba au ndo jinsi tu alivyo sasa wa namna hiyo hata ufanyeje hatatumia manukato

Na wengine na rough ndo asili yao hata ufanyeje hata wawe na pesa kiasi gani

Na mimi kakaangu mito ndo walewale ingia rum kwangu nina kila aina ya kiatu nina kila aina ya kipodozi niulize navitumiaga wapi utashangaa mara moja moja mnooo vinginine huwa vinaexpire natupa tu vingine naishiaga kuvigawa basi

Naomba sasa usininange kwa kusema ukweli banah
Yangu ni hayo kaka mito
 
Last edited by a moderator:
Ni atizo..Mbaya zaidi ukiwa unapenda pesa za watu wengine

Za wengine rahisi kupata bwana, hutumii nguvu, alafu si unaona sikukuu ndio hizo zakaribia? Jiongeze basi.
 
Nikaanzisha thread badala ya kusema watu waangalie nini kwenye makopo ukatokomea

Yale madini niliyoyamwaga mle hukuyaona?

Mwenzio atoto alinishukuru kwa kumuongezea ufahamu.

Nitarudi hata hivyo kuendelea kuelimisha.
 
Last edited by a moderator:
Yale madini niliyoyamwaga mle hukuyaona?

Mwenzio atoto alinishukuru kwa kumuongezea ufahamu.

Nitarudi hata hivyo kuendelea kuelimisha.

Sasa babi ile kitu ya digirii naipata wapi kabla hujaanza kuninanga?
 
Last edited by a moderator:
Hao aliwaona Prof. Jay wanatokea vijijini sasa hata mambo ya mjini hawayajui. Vipi wale wanaonuka kwenye ile nyama ya miguuni??
 
Yale madini niliyoyamwaga mle hukuyaona?

Mwenzio atoto alinishukuru kwa kumuongezea ufahamu.

Nitarudi hata hivyo kuendelea kuelimisha.

Niliona kashukuru I wondered kashukuru nini lol.

Deodorant vs antiperspirant. That's it? Ulivyosema tuangalie makopo nikajua ingredients
 
Last edited by a moderator:
Sasa babi ile kitu ya digirii naipata wapi kabla hujaanza kuninanga?

Unataka Dry Sprays kama hizi?

3091-982539-Range_Women_DRY%20SPRAY_US.png


Au unapendelea sticks kama hizi?

3091-982540-Range_Women_EXPERT%20PROTECTION_US.png


Zote zina MOTIONSENSE technology.
 
Usafi wa mwili ni jambo ninalolitilia maanani sana.

Mpaka wakati mwingine huwa nadhani labda napitiliza.

Na kwa Tanzania usafi wa mwili au ukosefu wake ni janga la kitaifa.

Watu wengi mno hunuka vikwapa lakini inavyoelekea ni wachache ambao hukerwa na hiyo harufu.

Kuna kipindi nilifikiria kuanzisha kampeni ya kutokomeza vikwapa.

Yap yap, kwa ambaye hajazoea comments zako humu kuhusu usafi lazima ataona unapitiliza
 
Unataka Dry Sprays kama hizi?

3091-982539-Range_Women_DRY%20SPRAY_US.png


Au unapendelea sticks kama hizi?

3091-982540-Range_Women_EXPERT%20PROTECTION_US.png


Zote zina MOTIONSENSE technology.

Mweeeh! Kingreza sasa nacho shughuli, mie nataka ambayo ni komesha ya kikwapa maana kaka yangu mito kaninanga hadharani leo.
 
Last edited by a moderator:
Dah mito kakaangu leo umeniacha hoi

Ila acha niseme haya yangu unajua swala la kujipenda ni hobby kuna mtu bila kujiangalia yukoje ananukiaje hata dukani humtumi na yupo mtu anaoga anafua nguo freshi lakini kumkuta anajipaka sijui makeup au anapangilia nguo azivaeje ameshisheje utasubiri sana na unakuta ana kila kitu kwenye dressing na akiona mwenzie kapendeza na ananukia anatamani sana ila ndo hivyo hobby imempita kushoto

Wengine wana aleji na manukato eiza kwa sababu ya mimba au ndo jinsi tu alivyo sasa wa namna hiyo hata ufanyeje hatatumia manukato

Na wengine na rough ndo asili yao hata ufanyeje hata wawe na pesa kiasi gani

Na mimi kakaangu mito ndo walewale ingia rum kwangu nina kila aina ya kiatu nina kila aina ya kipodozi niulize navitumiaga wapi utashangaa mara moja moja mnooo vinginine huwa vinaexpire natupa tu vingine naishiaga kuvigawa basi

Naomba sasa usininange kwa kusema ukweli banah
Yangu ni hayo kaka mito

Hahaaaa eti usininange kwa kusema ukweli loh!

Asante sana mkuu kwa mchango wako, bora we umeona nimeongea ukweli mtupu. Ila huyo ambaye hajaolewa ndo namsikitikia sana, maana atakuwa anapishana na potential hubby bila kujijua
 
Back
Top Bottom