Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Duh!!! Mimi sijaelewa shida ni kunukia shida ni uchafu ??? Wengine hawatumii perfume sababu wana allergy Nazo zinawadhuru.

Kuwa simple ni moja ya maamuzi pia ya mtu binafsi,kama mtu ni msafi usimplicity wake unakera nini?

Pili kuwa na vitu vingi kwenye kabati ni utumiaji mbaya wa fedha ,kuna haja gani ya kuwa na pea 20 za viatu wakati kila siku kuna pea mbili tu ndo huwa unazivaa zaidi?, kuna haja gani ya kuwa na pochi 10 hata kirasilimali chochote cha maana huna hadi bank account inasoma zero?, ni bora kuwa simple na kupendeza kisha ile hela ya kununua nguo,viatu na pochi kila siku mtu akajiwekea akiba ambayo kesho itamfanya aonekane mtu mbele ya watu.

Wanaume Hamna jema tukijiremba mnajiremba mtafikiri jini , tukiwa simple mdada ni mchafu na kwanini hanukii ? Job true true.....
 
Duh!!! Mimi sijaelewa shida ni kunukia shida ni uchafu ??? Wengine hawatumii perfume sababu wana allergy Nazo zinawadhuru.

Kuwa simple ni moja ya maamuzi pia ya mtu binafsi,kama mtu ni msafi usimplicity wake unakera nini?

Pili kuwa na vitu vingi kwenye kabati ni utumiaji mbaya wa fedha ,kuna haja gani ya kuwa na pea 20 za viatu wakati kila siku kuna pea mbili tu ndo huwa unazivaa zaidi?, kuna haja gani ya kuwa na pochi 10 hata kirasilimali chochote cha maana huna hadi bank account inasoma zero?, ni bora kuwa simple na kupendeza kisha ile hela ya kununua nguo,viatu na pochi kila siku mtu akajiwekea akiba ambayo kesho itamfanya aonekane mtu mbele ya watu.

Wanaume Hamna jema tukijiremba mnajiremba mtafikiri jini , tukiwa simple mdada ni machafu na kwanini hanukii ? Job true true.....

Shikamooo mke mwenza!
 
Kwani watakuwa wamevaa vi top vya kubana?

4ffc7ee42d792.jpeg

Khaaaah!! Jamani ndio mmeamua kufukunyua na picha, sasa na wale wanaume wanaoloaga hadi mgongoni watavaaje pedi? Au ipo ya mwili mzima?
 
Duh!!! Mimi sijaelewa shida ni kunukia shida ni uchafu ??? Wengine hawatumii perfume sababu wana allergy Nazo zinawadhuru.

Kuwa simple ni moja ya maamuzi pia ya mtu binafsi,kama mtu ni msafi usimplicity wake unakera nini?

Pili kuwa na vitu vingi kwenye kabati ni utumiaji mbaya wa fedha ,kuna haja gani ya kuwa na pea 20 za viatu wakati kila siku kuna pea mbili tu ndo huwa unazivaa zaidi?, kuna haja gani ya kuwa na pochi 10 hata kirasilimali chochote cha maana huna hadi bank account inasoma zero?, ni bora kuwa simple na kupendeza kisha ile hela ya kununua nguo,viatu na pochi kila siku mtu akajiwekea akiba ambayo kesho itamfanya aonekane mtu mbele ya watu.

Wanaume Hamna jema tukijiremba mnajiremba mtafikiri jini , tukiwa simple mdada ni machafu na kwanini hanukii ? Job true true.....

He heee leo shem eva man u tunacheza sa ngap?

Kuna tofauti ya kuwa simple alafu unakikwapa na kuna tofauti ya kuwa simple alafu hunuki.

Hapo mito amezungumzia wale ambao wanatoa harufu. Kwanini wasijiweke safi na kujipulizia marashi? Wanukie nukie...

Alafu kuwa na viatu pea mbiili? Opportunity cost ya kuwa na viatu pea nying atleast 10 haizuii wewe kufanya mengineyo mfano kuwekeza n.k
 
Yani unakataa kimahaba hivyo halafu unategemea nikuache..Jiandae tu kwa kweli...btw huwezi kufubaa..Ndo utazidi kunawili

Tooooba!! Alafu unanionea kwakuwa unajua siwezi kukunyima eti?? Mi sitaki bwana!
 
He heee leo shem eva man u tunacheza sa ngap?

Kuna tofauti ya kuwa simple alafu unakikwapa na kuna tofauti ya kuwa simple alafu hunuki.

Hapo mito amezungumzia wale ambao wanatoa harufu. Kwanini wasijiweke safi na kujipulizia marashi? Wanukie nukie...

Alafu kuwa na viatu pea mbiili? Opportunity cost ya kuwa na viatu pea nying atleast 10 haizuii wewe kufanya mengineyo mfano kuwekeza n.k

Shem sijui hata saa ngapi nina mgonjwa muhimbili full kunikondesha mpaka sinukii mwee....lol

Halafu shem siyo wote wenye vikwapa wanastahili perfume wengine vikwapa damu inabidi vitibiwe toka ndani mi nadhani bora mngeandaa Somo la jinsi ya kuepukana na kikwapa.

Shem sikubaliani nawe hata kidogo two durable pair of shoes is enough rather than 10 pairs of mchina's shoes. Ni kujaza takataka tu ndani ambazo hazina maana tena huo ni uchafu. Mwingine ananua pair moja kwa 50,000 au 70,000 sasa atajazaje pair 10?

Shem Mbona sisi tunawasitiri na suruali mbili zenu lakini tunaona pouwa tu, sema kikubwa ni umaridadi tu haijalishi una nini wala nini,hata waswahili husema umaridadi huficha umaskini.

Sasa nyie mwataka tujiuze na tuwachune mpka ngozi ili tujaze maperfumes,viatu na nguo ndani.
 
Shem sijui hata saa ngapi nina mgonjwa muhimbili full kunikondesha mpaka sinukii mwee....lol

Halafu shem siyo wote wenye vikwapa wanastahili perfume wengine vikwapa damu inabidi vitibiwe toka ndani mi nadhani bora mngeandaa Somo la jinsi ya kuepukana na kikwapa.

Shem sikubaliani nawe hata kidogo two durable pair of shoes is enough rather than 10 pairs of mchina's shoes. Ni kujaza takataka tu ndani ambazo hazina maana tena huo ni uchafu. Mwingine ananua pair moja kwa 50,000 au 70,000 sasa atajazaje pair 10?

Shem Mbona sisi tunawasitiri na suruali mbili zenu lakini tunaona pouwa tu, sema kikubwa ni umaridadi tu haijalishi una nini wala nini,hata waswahili husema umaridadi huficha umaskini.

Sasa nyie mwataka tujiuze na tuwachune mpka ngozi ili tujaze maperfumes,viatu na nguo ndani.

Pole everlenk,

Ni wachache saana wanaoelewa hilo la pea mbili durable. Wenzako wanataka kila gauni lenye rangi fulani liwe na kiatu chake.

Hicho kikwapa cha damuni hicho, nkiwa mdogo nlisikia mtu akisema kinatibiwa na kunawa maji ya ukoko wa ugali ulioungua. Japo sina hakika.

Shem tunakuwa na suruali mbili kwa vile tunajibana tuwape hela nyie mpendeze lol.
 
Pole everlenk,

Ni wachache saana wanaoelewa hilo la pea mbili durable. Wenzako wanataka kila gauni lenye rangi fulani liwe na kiatu chake.

Hicho kikwapa cha damuni hicho, nkiwa mdogo nlisikia mtu akisema kinatibiwa na kunawa maji ya ukoko wa ugali ulioungua. Japo sina hakika.

Shem tunakuwa na suruali mbili kwa vile tunajibana tuwape hela nyie mpendeze lol.

Asante shem.....Hahahahaha wacha weee!!!! Ngoja nitamuuliza dogo langu unampaga ngapi ili nijue ni kweli unahudumia au na wewe ni uchafu tu?
 
Asante shem.....Hahahahaha wacha weee!!!! Ngoja nitamuuliza dogo langu unampaga ngapi ili nijue ni kweli unahudumia au na wewe ni uchafu tu?

Ahaa haaa.....
Kuanzia leo ataishi kwa pair mbili tuu, no perfume no sijui malosheni.

Msiniletee kesi tuuu. Natekeleza ushauri wako
 
Duh!!! Mimi sijaelewa shida ni kunukia shida ni uchafu ??? Wengine hawatumii perfume sababu wana allergy Nazo zinawadhuru.

Kuwa simple ni moja ya maamuzi pia ya mtu binafsi,kama mtu ni msafi usimplicity wake unakera nini?

Pili kuwa na vitu vingi kwenye kabati ni utumiaji mbaya wa fedha ,kuna haja gani ya kuwa na pea 20 za viatu wakati kila siku kuna pea mbili tu ndo huwa unazivaa zaidi?, kuna haja gani ya kuwa na pochi 10 hata kirasilimali chochote cha maana huna hadi bank account inasoma zero?, ni bora kuwa simple na kupendeza kisha ile hela ya kununua nguo,viatu na pochi kila siku mtu akajiwekea akiba ambayo kesho itamfanya aonekane mtu mbele ya watu.

Wanaume Hamna jema tukijiremba mnajiremba mtafikiri jini , tukiwa simple mdada ni mchafu na kwanini hanukii ? Job true true.....


Leo tunapiga mtu 2-0
 
Back
Top Bottom