Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Hivi mdada inakuwaje hata hunukii?

Ni mtamu bwana kwa maneno yake, thats wht i ment! Teh teh teeeeh!! Ila ule utamu mwingine najua unaujua kabisaaa usitake kujifanya huujui hapa

Aiseee!!!! Bora maana nilikonda ghafla ......
 
Hahahhaha mito mimi nisaidie tu ninukie na niongeze angalau pair moja tu......

We unanukia wala sina hofu na wewe kabisa mkuu, tatizo hapo kwenye viatu pea mbili kisa vya gharama, ahaaaa!! labda utembee na price tag zake kabisa kutuziba midomo, kinyume na hapo mada inakuhusu tu, loh!!
 
We unanukia wala sina hofu na wewe kabisa mkuu, tatizo hapo kwenye viatu pea mbili kisa vya gharama, ahaaaa!! labda utembee na price tag zake kabisa kutuziba midomo, kinyume na hapo mada inakuhusu tu, loh!!

Hahhahaa siku nitakuita wakati nafanya shopping halafu utaniambia km sidizevu pair mbili..........hahhha natania hicho kiatu cha laki wanakiweza wasanii mi full mchina......ila sasa Nina kasumba mbaya sana mzuri wa kununua viatu ila sasa kiatu nikikipenda ndo hicho hicho usiku na mchana mpaka kiombe poo sasa narundika tu kutumia situmii mpka vingine vinaharibika, sasa nataka nichange motion niwe na vitu durable but vichache,pair mbili durable, pochi mbili durable,kila aina ya nguo mbili mbili tu,perfume moja matata mweeeeee!!!! ,Mipango siyo matumizi........ Je bado mada itanihusu????
 
Hahhahaa siku nitakuita wakati nafanya shopping halafu utaniambia km sidizevu pair mbili..........hahhha natania hicho kiatu cha laki wanakiweza wasanii mi full mchina......ila sasa Nina kasumba mbaya sana mzuri wa kununua viatu ila sasa kiatu nikikipenda ndo hicho hicho usiku na mchana mpaka kiombe poo sasa narundika tu kutumia situmii mpka vingine vinaharibika, sasa nataka nichange motion niwe na vitu durable but vichache,pair mbili durable, pochi mbili durable,kila aina ya nguo mbili mbili tu,perfume moja matata mweeeeee!!!! ,Mipango siyo matumizi........ Je bado mada itanihusu????

Hahaaa huko kwenye durable mkuu kwa mtazamo wangu utapoteza hela yako bure, wanaongalia durability si wengi na si waongeaji kama sisi loh! kitaa tunaangalia unatokaje leo? halafu tunajiuliza na jana ulitokaje, ahaaa akyanani utafikiri tunakupatia hela!! We nenda tu na upepo mkuu, kwani ukinunua mchina wako kwa elfu10 ukavaa mara kadhaa tu 'kuosha kazini' then unanunua kingine cha wakati huo unapata hasara ngani mkuu.
Then ukawa na pafyumu zako 3 hivi matata, leo unapuliza hii, kesho ile, bado na ile nyingine nikusubiri keshokutwa, kwenye matukio kama kanisani sijui harusi unapuliza mchanganyo wa 2, bado mchanganyo wa zote 3, weeeee lazima uoshe kitaaa!!

cc atoto, Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
everlenk, luv u sana kipenzi. Nimekuombea sana leo, ukitunze tu kwa ajili yangu manake hicho ni kiunganishi chetu. atoto amenitongoza sana lakini niko imara, ndio maana leo nikakuombea sana yani. Saivi hata sisy darling Heaven Sent simuamini sana...
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa huko kwenye durable mkuu kwa mtazamo wangu utapoteza hela yako bure, wanaongalia durability si wengi na si waongeaji kama sisi loh! kitaa tunaangalia unatokaje leo? halafu tunajiuliza na jana ulitokaje, ahaaa akyanani utafikiri tunakupatia hela!! We nenda tu na upepo mkuu, kwani ukinunua mchina wako kwa elfu10 ukavaa mara kadhaa tu 'kuosha kazini' then unanunua kingine cha wakati huo unapata hasara ngani mkuu.
Then ukawa na pafyumu zako 3 hivi matata, leo unapuliza hii, kesho ile, bado na ile nyingine nikusubiri keshokutwa, kwenye matukio kama kanisani sijui harusi unapuliza mchanganyo wa 2, bado mchanganyo wa zote 3, weeeee lazima uoshe kitaaa!!

cc atoto, Heaven Sent

Hahaha my dada everlenk kuna clip ya mdada niliona anasema "stop buying rubbish" sijui umeinyaka hiyo

My kaka mito kwa hiyo wewe shida yako ni kuniona tu kila siku nimechange hata kama ni ronya ronya eeh?
 
Last edited by a moderator:
everlenk, luv u sana kipenzi. Nimekuombea sana leo, ukitunze tu kwa ajili yangu manake hicho ni kiunganishi chetu. atoto amenitongoza sana lakini niko imara, ndio maana leo nikakuombea sana yani. Saivi hata sisy darling Heaven Sent simuamini sana...

Teh kisa cha kutoniamini? Nilivyo mwaminifu hivi mbele za Mungu na wanadamu, do me justice oooooh
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa huko kwenye durable mkuu kwa mtazamo wangu utapoteza hela yako bure, wanaongalia durability si wengi na si waongeaji kama sisi loh! kitaa tunaangalia unatokaje leo? halafu tunajiuliza na jana ulitokaje, ahaaa akyanani utafikiri tunakupatia hela!! We nenda tu na upepo mkuu, kwani ukinunua mchina wako kwa elfu10 ukavaa mara kadhaa tu 'kuosha kazini' then unanunua kingine cha wakati huo unapata hasara ngani mkuu.
Then ukawa na pafyumu zako 3 hivi matata, leo unapuliza hii, kesho ile, bado na ile nyingine nikusubiri keshokutwa, kwenye matukio kama kanisani sijui harusi unapuliza mchanganyo wa 2, bado mchanganyo wa zote 3, weeeee lazima uoshe kitaaa!!

cc atoto, Heaven Sent
Duhh!!! Itabidi nikutafute unipe somo la mikato ya kitaa......ila hivi vitu vya mchina bana tatizo havichelewi kukuabisha yaani unaweza kuwa sehemu ya maana Mara kitu kikafumuka P yote ikashuka ,bora Mimi niliendelee na vitu durable nyie endeleeni kunisema tu na pair mbili zangu hhhahhahanan na nilivyi bonge la mtu mchina hachelewi kunitenda
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom