Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,949
- 183,430
Mmmmh umejistukia nini ukafuta jina la kaka yangu?? Acha uchoyo nipe hela.
Last edited by a moderator:
Safari we ndo uliiharibu na kilanga chakoAkuuu sitaki, we si ulinibania safari ya dubai
Fursa nimeachana nazo..Nataka nianze mwaka kipendwa zaidiIli ukamatie fursa?
Safari we ndo uliiharibu na kilanga chako
Fursa nimeachana nazo..Nataka nianze mwaka kipendwa zaidi
Teh teh..Huyu vile viwalo nampa bure..Ananisaidia kutangaza bidhaa..
Kiranga tena jamani? Kipi hicho?
Hahahaaaaa! Yamekusibu yapi labda?
ulisema utakuwa unatoa game kwa ratiba..Sasa mambo gani hayo
Teh teh..Hamna kitu..Nimeona maisha ya kipendwa ni mazuri zaidi
Teh..Siku ntakusimulia lililonikuta..Kuna mtu aliwahi kusema Asilimia kubwa ya watu wanaokoka baada ya kukutwa na majanga..Kidogo nimeanza kuamini..Sasa wewe unataka game kila siku kama chakula huchoki??
Mmmh kweli maombi yamefanya kazi, ila si bure limekukuta la kukukuta hukoo umeamua ujirudi maana huna jinsi!!
Teh..Siku ntakusimulia lililonikuta..Kuna mtu aliwahi kusema Asilimia kubwa ya watu wanaokoka baada ya kukutwa na majanga..Kidogo nimeanza kuamini..
Mhhh!!!! Hiyo ndo imezidi aiseeAfadhali, and i hope na uchu wa game utakuwa umekuisha nami nipumue khaaaaah!!
Ewaaaaa kama mnanukia kama yule aliyepewa lift na Nyani Ngabu kwa kweli hakuna tatizo, tena nawazungushaaaa mwendo wa bibi harusi ili mkae kae sana mbakishe manukato garini kwangu. Nina imani mtakuwa mmepigilia na zile pedi za kwapa kabisa, loh!
Mhhh!!!! Hiyo ndo imezidi aisee
Yani unakataa kimahaba hivyo halafu unategemea nikuache..Jiandae tu kwa kweli...btw huwezi kufubaa..Ndo utazidi kunawiliUwiiiiii khaaah sitaki bwana, nenda kwanza hadi ipungue, maana utanikondesha tena, mwenzio now na kamwili kamerudi, naanza kunawili unataka unifubaishe tena!!
Teh yani mmetuamulia jamani khaa, tuleteeni tu hizo pedi basiSista atoto na Heaven Sent mkuje huku, mnaulizwa na Nyani Ngabu hivi na nyie unalowaga hivyo kwapa? msomeni wenyewe hapo juu msijekusema narusha tena madongo