everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
Haha hasira za nini tena, au "The Philosopher/Master Tactician anakuzingua?
Basi tu best yaani ananichefua kweli kweli Ngoja tuone na leo.....
Haha hasira za nini tena, au "The Philosopher/Master Tactician anakuzingua?
Hivi huyu mumeo haya maneno anatoaga wapi? Mwambie sio vizuri kukomoana!
Me mwenyewe nimechoka kushinda na dictionary muda wote
Teh usinichafue bana, brod darlin Eli79 a.k.a broo "ptuuuuu" a.k.a broo "close your legs" ni broo wangu wa kiroho. Mumeo anatuchambaje siku hiziAmaaaa !!!! Hili lilinipita na umbea wangu wote sijui kma wewe my dada Heaven Sent ndo mume wa my best friend Paulo Sergio De Souz.......????......loh!!! Tuambiane buana isije kuwa popote ulipo tupo.....Na Eli79 wangu umempeleka wapi?
Toooba!! Sasa ndio umemalizia kwa kunitusi au? Mwenyewe!! Teh teh
Teh hapana kwa kweli, sitotaka kaka yetu aje kujuta baadayeJamani kipenzi mke mwenza aka muke ya shemeji sijakutukana Jamani mwambie Heaven Sent awe anakufundisha mdogo mdogo maana soon tutakupatia kaka yetu Mmoja hivi.......
Teh usinichafue bana, brod darlin Eli79 a.k.a broo "ptuuuuu" a.k.a broo "close your legs" ni broo wangu wa kiroho. Mumeo anatuchambaje siku hizi
Afu unatafuta ugomvi ujue, me ndo "Mume"?
Teh usinichafue bana, brod darlin Eli79 a.k.a broo "ptuuuuu" a.k.a broo "close your legs" ni broo wangu wa kiroho. Mumeo anatuchambaje siku hizi
Afu unatafuta ugomvi ujue, me ndo "Mume"?
Hahaha ntakuwa nakumention uone mumeo anavyotupa makavu. Siku hizi kwenye comments zake naanza tu kutafuta neno "ptuuu" kabla ya yote tehWeweee!!! Mbona hajaniita nione, huyu mume wangu kaanza lini kuwachamba mashemeji zake ? Eli79 Anataka tamu nini ? Mwambie ashindwe na kilegeee milele ila kisimame kwangu tu.....
Hahaha ntakuwa nakumention uone mumeo anavyotupa makavu. Siku hizi kwenye comments zake naanza tu kutafuta neno "ptuuu" kabla ya yote teh
Hamna hajaanza kuchepuka bado, ila kuna muda tulimfuma na atoto anamkonyeza mdada fulani hivi. Tunaendelea kufatiliaBasi atakuwa na kiburudisho kipya humu ndani sasa anavunga si unajua tena mume wetu kila siku kujaribu masufuria mapya ila mwiko ule ule..lol
Hahaha utakuwa hunukii wewe na viatu vyako pair 2[emoji23] [emoji23] [emoji23].Heheheeeee mniite na mimi kwa kweli......au siku hizi sinukii ? mito atakuja kutupopoa na uzi wake tumeuchakachua ......
Amaaaa !!!! Hili lilinipita na umbea wangu wote sijui kma wewe my dada Heaven Sent ndo muke ya my best friend Paulo Sergio De Souz.......????......loh!!! Tuambiane buana isije kuwa popote ulipo tupo.....Na Eli79 wangu umempeleka wapi?
Jamani kipenzi mke mwenza aka muke ya shemeji sijakutukana Jamani mwambie Heaven Sent awe anakufundisha mdogo mdogo maana soon tutakupatia kaka yetu Mmoja hivi.......
Teh hapana kwa kweli, sitotaka kaka yetu aje kujuta baadaye
Hamtuwashi hamtuzimi,Mama ndio hivyo, Heaven Sent kaopoa mzungu, ila sijui wameachana hata haijulikani, teh teh teh(km nakuona unachotyp)
Khaaa usije ukatuharibia watoto sie, wanyaki tuna genes hatariousAsivyopenda maendeleo yangu huyo si atanifundisha matusi sasa!!
Kama vile i knew!!
Teh hilo la utamu tu ndo sina uhakika, hahahha brod darlin banaNa swaga zake anaanziaga mbaliii, khaaah mwanaume bazazi yule! Ila ni mtamuuuu.
Hamtuwashi hamtuzimi,
Mwaona donge la nini,
Kama mnaweza pandeni juu mkazibe,
Wanadamu, walimwengu kama yetu yawakera,
Mbona mtakereka sana, na mtakereka sana
Khaaa usije ukatuharibia watoto sie, wanyaki tuna genes hatarious