Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Mwanamke hawi mchungaji hadi aolewe na ukimkuta hana mume labda mumewe alifariki.
Mmm,,hapo mkuu ndo nimesikia kwako sidhani kama ni kweli au si kweli,lakini mbona wapo ninaowaona na hawajaolewa
 
Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
Unampa mistari kama mwanamke mwingine hakuna utofauti hapo sababu nae ni mwanamke na anatakiwa kutongozwa.
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
Umetisha Mvaa Tai
 
Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
Kila siku uwe unamwambia "unajua mama mchungaji nakupenda sana"...kila siku ...rudia hivyo kwa siku 21 kama kuna uelekeo kuna kitu kita erupt
 
Kila siku uwe unamwambia "unajua mama mchungaji nakupenda sana"...kila siku ...rudia hivyo kwa siku 21 kama kuna uelekeo kuna kitu kita erupt
Labda niwe nishaonja kidogo maana daa,itakuwa ngumu
 
Juzi kwenye gari nimemtonhoza Dada wa kiislam aliyefunika uso sembuse mchungaji
Mbona hata wanaojiita bikra(masista) wanatongozwa na wanashiriki tendo na bado wanabaki na ile ile sifa ya kuwa bikra japo kiuhalisia bikra inakuwa adimu kupatikana
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
We jamaa yaani hufai kabisa. Nimecheka mpaka basi...
 
mbona wako kawaida japo mimi sio dini yao ila wako kawaida sana na very friendly plus easy going

hawa ni kwa nilibahatika kuwaona na kukaa nawo

ila ndhan wako kawaida tena ukijitosa unawez kuta ni mteremko kuliko ulivyo dhani
 
Ni watamu sana hao watu, ukijiamini wala hawasumbui kiviiiile....
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
Hapo kwenye kububujikwa na machozi ndo umetishaa zaidi kiongozi
 
Mwanamke hawi mchungaji hadi aolewe na ukimkuta hana mume labda mumewe alifariki.

Kama ni hivyo amwambie mjane njoo tuishi.
Maana alishatongowa zamani na hakuna asichojua.
Hivi mjane akiolewa mara ya pili anaitwaje?.
Anza na neno mchungaji kisha jibu lifuate.
 
Back
Top Bottom