Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Wacha ujanja, akiolewa atakua amepata mume sawa. Swali jina baada yakuolewa mara ya pili.
Usizungushe maneno nyoosha, kama huna jibu tuulize wadau.
Sasa wewe unataka kung'ang'ania kitu kisicho kuwepo. Mtu amesha olewa na ana mume tayari sasa ataitwaje mjane?? Kumbuka kuwa mume au mke akifa basi ndoa hapo ndio imevunjika na yupo huru kuoa au kuolewa na akisha olewa basi sio mjane tena kwasababu anamume tayari. Sasa hapo huwezi tena kumuita mjane, Muite tu mchungaji au Mrs fulani basi.
Kama hutaki sasa apo shauri yako.
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
Shati la kitenge linawakilisha nini mkuu.....!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....kumbe ndio nimepata jibu nilimbishia mtu kuhusu tabia za wanamme wanaovaa vitenge wengi wao ni matepeli...
 
Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-02-23-18-18-50.png
    Screenshot_2017-02-23-18-18-50.png
    82.8 KB · Views: 52
...unamwambia tu (kwa lafudhi ya kisukuma) kwamba "aisee pastor limoyo langu limekudondokea..." ataelewa tu.
 
kwenye kutongozana hakuna formula eti kisa mchungaji,profesa au engineer kutakuwa na lugha maalum??! hakuna hiyo kitu
wew jamaaa...unachekesha...ushungi ni nguoa za kawaida....tu...
 
Tafuta kwanza namba yake ya simu.. Then njoo niambie nikupe next step from where you will end
 
Mkuu fuata nyayo zangu mimi nilihonga biblia mpaka sasa najilia Tunda mambo mubashara kabisa
 
Nikwambie tu ni wanawake wachache sana wana fake kwenye suala la Mungu ,utapeli mwingine wana weza lakini maswala ya Mungu wako serious hivyo basi mchungaji mwanamke hatongozwi unamwambia ukweli ukiwa na nia njema anakuelewa,hawezi kukukataa .angalizo usitegemee ngono kabla ya ndoa.
 
Unaenda kumwomba akuombee roho chafu wa kumuota yeye kama unampenda awe mkeo inakusumbua. Atajua umemfikishia ujumbe kisha Deja vu..
Atakustaajabu kwa ujasiri wako kisha ndio vile ukistuka mshafunga ndo na watoto mshapata.
 
Nikwambie tu ni wanawake wachache sana wana fake kwenye suala la Mungu ,utapeli mwingine wana weza lakini maswala ya Mungu wako serious hivyo basi mchungaji mwanamke hatongozwi unamwambia ukweli ukiwa na nia njema anakuelewa,hawezi kukukataa .angalizo usitegemee ngono kabla ya ndoa.
Mkuu wewe unazungumzia wanawake wa dunia gani? au Sayari nyingine? Hao watu ni wepesi kuamini ndio maana ni waumini wazuri wa dini lakini ni wepesi kushawishiwa hata kama mwenye imani sana na dini yake. Mama, dada, mke na rafiki zangu wanawake mtanisamehe huu ndio ukweli, na ushahidi upo kwa Eva mwenza wa Adam. Narudia tena nawaheshimu na kuwathamini lakini ukweli ndio huo.
 
Nikwambie tu ni wanawake wachache sana wana fake kwenye suala la Mungu ,utapeli mwingine wana weza lakini maswala ya Mungu wako serious hivyo basi mchungaji mwanamke hatongozwi unamwambia ukweli ukiwa na nia njema anakuelewa,hawezi kukukataa .angalizo usitegemee ngono kabla ya ndoa.
Unamwanzaje mkuu
 
Back
Top Bottom