Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
Daa,huo mtihani mkuu labda niweke kiroba japo kidogo nichanganye na soda sinywaji pombe
 
Psii Psii we dada mchungaji what's up? Ujue nimekukolea kimavi yani we Fanya kuchojoa tu hahahahhaa humkosi hapo
 
chukua namba yake ya simu.....hakikisha unajipendekeza akujue ikiwemo kuanzisha pambio, kutoa michango ya harambee, ukimaliza fuata hatua ya pili.
2. Mtumie msg zile za biblia, video za maombi kama yupo whatsapp nk. Kisha angalia respond yake ...akiwa anajib hata neno "Amen" hiyo ni ishara tosha yuko coperative.
Hatua ya tatu tengeneza shida inayohitaj maombi kwake, mfuate faragha baada ya ibada akuombee individualy,,,baada ya hapo kaa siku kadhaa kama week mbili mpigie simu kbsa kwamba umefanikiwa tatzo uliloombewa limeisha mshukuru, kisga nunua kuku jogoo chinja na kumkaribishe kwako apate lunch kama shukrani...akiwa kwako kuwa dynamic utapata majib.,


NB: dont apply this.
 
Bwana Yesy asifiwe! Dada Yesu alisema amri kuu nawapa nayo ni upendo. Nami nakupenda kweli dada kwani imeandikwa tafuteni nanyi mtaona na ombeni nanyi mtapewa. Bwana Yesu asifiwe! Akisema Ameni hapo tayari amekubali mnaweza kwenda hatua ya pili
Mmm wakati huo moyo unakaribia kudondoka tumboni
 
chukua namba yake ya simu.....hakikisha unajipendekeza akujue ikiwemo kuanzisha pambio, kutoa michango ya harambee, ukimaliza fuata hatua ya pili.
2. Mtumie msg zile za biblia, video za maombi kama yupo whatsapp nk. Kisha angalia respond yake ...akiwa anajib hata neno "Amen" hiyo ni ishara tosha yuko coperative.
Hatua ya tatu tengeneza shida inayohitaj maombi kwake, mfuate faragha baada ya ibada akuombee individualy,,,baada ya hapo kaa siku kadhaa kama week mbili mpigie simu kbsa kwamba umefanikiwa tatzo uliloombewa limeisha mshukuru, kisga nunua kuku jogoo chinja na kumkaribishe kwako apate lunch kama shukrani...akiwa kwako kuwa dynamic utapata majib.,


NB: dont apply this.
Asee hapa kuna kamwongozo kidogo
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
we hufai
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
1:- unajipendekeza kanisani na sadaka kibao ( hata kwa kukopa )
2:- Unaanza kumkaribisha kwako apazoee.
3:- Akuzoea unambaka kwakua hatoweza kusema.
4:- Unamweleza ya moyoni mchezo umeisha.


Angalizo ukushindwa kumbaka jela ni 100%.
nyie nyie
 
Back
Top Bottom