Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

LIJAMAA: mama mchungaji nina neno nawe kama roho inavyoniambia
MAMA MCHUNGAJI: Sema tu ngugu uwe na amani
LIJAMAA: Najisikia kukupenda sana,nitafurahi kuona siku moja nakua mumeo na tukaishi kwa amani zote huku tukihudumu pamoja
MAMA MCHUNGAJI: hahahaha una hakika na unachokisema?
LIJAMAA: kabisa wala sitanii
MAMA MCHUNGAJI: ok tuseme na MUNGU kwanza atuongoze
LIJAMAA: hakika upo sawa mama,nakupenda sana na ninashukulu kwa kunisikiliza
MAMA MCHUNGAJI: Tuingie maombi ya kufunga kwa muda wa mwezi mzima MUNGU atatujibu kama ni kusudio lake.
LIJAMAA:.......................!![emoji36] [emoji36]
Mpaka hapo alikua kishakaribia kushinda game
 
Ahahahahaha

haina haja ya kujipendekeza


wewe kuwa smart, Ibada ikiisha muite afu mfuate pale mnapo salimiana salimiana


Mwambie kuwa Una hisia na yeye,

Wana wake wanajali Sana hisia kwakua hao ni watu wa hisia

Asipoelewa ata kuuliza hisia gani?

wewe uta mwambia za kimapenzi.

Anaweza asikupe jibu lolote

Ila atakua anajua kuwa unampenda na popote utakapo kuwa yeye atakua na aibu za kike...ukimuangalia usoni macho yenu ya naongea

So kila utakapo pata muda mtongoze

Hadi umuingie akilini

Ila sasa Hawa hawapendi kutongozwa in public au Hawa pendi kila MTU ajue


Wana Linda personality
 
Mwanamke ni mwanamke unasema hivi nahitaji tuwe pamoja nimekupenda sana. Lakini lazima muuoane kwa ndoa.
 
Muombe aje nyumbani kwako mfanye 'maombi' ya usiku, akikataa muulize "unaogopa nini?"...halafu mnaendelea kuanzia hapo.

Jiamini tu, mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume!😀😀😀😀
 
Hakuna jambo jema analosubiri kama mtu jasiri wa kumwambia anampenda. Huyu ni binadamu ana hisia kama mtu mwingine yoyote na anatamani kusikia anaambiwa anapendwa. Huo mtihani mwepesi sana. Cha msingi lazima ujue kuwa utachunguzwa vzr sana na hasa kama ni mtu unayeweza kuyabeba maono yake katika kazi ya uchungaji
 
Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
Mara nyingi huwez kukuta mwanmke mchungaji ambae hajaolewa....
 
Hapana mkuu sema kuna kama kawoga fulani unaanzakujiuliza akikataa nitaenda
Akikataa sijui kama kanisani utaruka tena...labda awe sio wa kanisa lako...au hata kama utaenda kwa kujikaza kisabuni wakati wa mahubiri sijui kama utapata kitu
 
Unatakiwa ujue kunena kwa lugha ili ukiwa unamtongoza mnajibizana kwa lugha yenu
 
Back
Top Bottom