Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
Wewe unamjua mchungaji mwanamke ambaye hajaolewa?
 
unahisi kwasababu ni mchungaji mwanamke kwahiyo atakuwa bikira ama?
jinsi ya kumuanza unamuanza tu kwa gia ile ile tunayotumia kwa masista
Na kama wanavyotongozwa Maustaadhat.
 
1:- unajipendekeza kanisani na sadaka kibao ( hata kwa kukopa )
2:- Unaanza kumkaribisha kwako apazoee.
3:- Akuzoea unambaka kwakua hatoweza kusema.
4:- Unamweleza ya moyoni mchezo umeisha.


Angalizo ukushindwa kumbaka jela ni 100%.
Kanuni zimetulia kabisa hizo
 
Tafuta shati zuri la kitenge, hakikisha suruari yako ya kitambaa imenyooshwa vyema, mfuate umueleze shida yako kwa namna ambayo utakuwa kama unamshuhudia maono uliyopata baada ya kuomba kwa mda mrefu upate mke, Mwambie unamuomba aingie kwenye maombi ili afunuliwe kama maono yako ni ya kimungu. Hata akionyesha kukukubalia haraka uwe unasita sita kidogo ukimuomba mshirikiane katika maombi ili mufunuliwe kama ni mapenzi ya Mungu, usisahau kububujikwa na machozi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
1:- unajipendekeza kanisani na sadaka kibao ( hata kwa kukopa )
2:- Unaanza kumkaribisha kwako apazoee.
3:- Akuzoea unambaka kwakua hatoweza kusema.
4:- Unamweleza ya moyoni mchezo umeisha.


Angalizo ukushindwa kumbaka jela ni 100%.

Hahahahhahahhahhahahhahahahhahhahahahahhahahahha
 
Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
Kama hawa vidampa wa mjini tu nashindwa kuwatongoza sembuse huyo mtumishi wa bwana sijui hata unaanzaje.!
Mie mara ya mwisho kumtongoza mwanamke ilikuwa mwaka 1996
Wala sikumbuki nilitongozatongozaje maana ni siku nyingi kidogo
Siku hizi mademu unagonga tu hata ukiwa bubu.[emoji12]
Yaani nikimkaribia natetemeka
 
Kwa hiyo ID yako tu mimi naona huwezi kumtongoza mchungaji mwanamke!!! watafute "wa stendi" wenzako ndio mtaelewana.... ni mtazamo tu
 
Ni kama mwanamke mwingine yeyote.
Hata awe polisi au mwanajeshi, formula ni zilezile. Jifanye hujui kama ni Mchungaji, mwanajeshi au polisi. Mtongoze kama mwanamke tu.
 
we
Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
mwambie tuu kua bwana amenifunulua kwako kwa mujibu wa wagalatia 6,atakuelewa
 
Nadhani na wewe inabidi uwe kijana mtumikaji kanisani!!! Ongea nae kikawaida tu... Uwe mkweli na usilete ile kitu ya Mungu kakuonesha
 
Nimejiuliza hili swali sijapata jibu,

Hivi kiongozi wa kanisa mwanamke mchungaji kwa kawaida kama hajaolewa na ikatokea umependa hivi unaanzaje anzaje kumuanza hadi akukubalie na je kabla hujaanza kuomba urafiki nae inabidi mtu uweje kimuonekano labda.
Mmelingana ama we mdogo kwake??
 
Sasa kumbe majibu unayo tayari, kwa sababu akiolewa inamaana tayari ana mume.

Wacha ujanja, akiolewa atakua amepata mume sawa. Swali jina baada yakuolewa mara ya pili.
Usizungushe maneno nyoosha, kama huna jibu tuulize wadau.
 
Back
Top Bottom