Hivi Makonda anafanya nini USA?

Hivi Makonda anafanya nini USA?

TL. Marandu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
3,625
Reaction score
5,815


Wakati wengine wote Kusafiri Wamekatazwa, Mpaka Kibali cha Rais, Naona huyu Bwana mdogo yupo USA akishangaa shangaa. Pia nimeona akiwa na Baadhi ya Wengine! I hope ameenda Usa Likizo na Kisha Ajirudie zake Tz salama. Ila kama kafuata mengine ajue USA ni Backyard za Wengine sio Kama Ukumbi wa Ubungo alipomlabua Mh. Warioba kibao.

Pia I hope Kwa Kuwa "Hapa kazi tu" hana Upendeleo, Wakuu wote wa Mikoa wakipata Likizo nao wapelekwe Italy au USA au France etc!
 
Kwani hujamsikia anataka Dar es salaam Mpya?! Kabla ya 2020, Dar ka' New York; kudadadeki... dad's son!!!
 
Anafanya yakwake na familia yake, sasa sisi tuanze kumfuatiria si tutaitwa wambea??
Mwache afanye mambo yake kwa ajili ya familia yake au hata kwa manufaa yake tuuu

Sisi tunamuomba Mungu amurudishe salama salimini kamanda wetuu.
Hata Mimi namwombe kwa Mwenye Enzi Mungu ampe haja ya moyo wake. ..
 
Nafikiri akirudi atatuletea mipango mizuri kwa Jiji letu. Kila kheir kwake.
 
Ila anapo enda sehemu Kama hizo awe na moyo wa uvumilivu huko kumkuta mwanaume na mwanaume wanyonyana denda barabarani. ni jambo la kawaida ila asije akamaindi akajua huko ni bongo.

na kibaya zaidi yule bwana mdogo hajuwagi kuficha hisia zake na kule akijifanya anajua vya kuongea ongea yani kule kupigwa shaba ni fasta.
 


Wakati wengine wote Kusafiri Wamekatazwa, Mpaka Kibali cha Rais, Naona huyu Bwana mdogo yupo USA akishangaa shangaa. Pia nimeona akiwa na Baadhi ya Wengine! I hope ameenda Usa Likizo na Kisha Ajirudie zake Tz salama. Ila kama kafuata mengine ajue USA ni Backyard za Wengine sio Kama Ukumbi wa Ubungo alipomlabua Mh. Warioba kibao.

Pia I hope Kwa Kuwa "Hapa kazi tu" hana Upendeleo, Wakuu wote wa Mikoa wakipata Likizo nao wapelekwe Italy au USA au France etc!

Serikali haina utaratibu wa kugharamia likizo za wafanyakazi wake.
 
Ameenda kuangalia utalatibu wa mji wa USA ili aige jinsi gani atauendesha mkoa kissa zaidi.
 
Makonda huku Kolomije tunakula mlo mmoja,ngunia la mahindi sasa ni rasmi linabadilishwa kwa ngombe mmoja dume.
 
Hatujapata jibu hapa. Muhimu ajifunze mazuri ya huko na kama Kiongozi atuletee uzoefu wa wenzetu hasa kipindi hiki tunachoelekea kwenye viwanda
 
Back
Top Bottom