hjayhals
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 768
- 558
Kuna kumbukumbu ya hukumu kutoka mahakamani inayomtaja makonda ?
Mahakama? Mahakama ipi? Bongo??? Amka ndoto imeisha hiyo.
Kuna kumbukumbu ya hukumu kutoka mahakamani inayomtaja makonda ?
Tangu lini kibaka afanye kazi ya kijasusi tena wale special alafu kibaka aifanye hiyo kazi asigundulikeUzuri haya yalirekodiwa mapeeemaa hebu unganisha dot hizi.
1.Siku rais anahutubia makinikia dar es salaam makonda Kama mkuu wa mkoa hakuwepo Jambo ambalo halikuwa la kawaida.
2.Masaa machache baada ya lisu kushambuliwa dodoma ulionekana msafara wa magari mawili meusi maeneo ya kihonda morogoro ukikimbia kwa kasi ya ajabu kuelekea uelekeo wa dar/mjini.
3.Siku hiyohiyo ama kesho yake sikumbuki vizuri uzi umo humu.
Makonda alionekana akifanya jogging maeneo ya kwa mkuu wa mkoa wa morogoro.