chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,334
- 1,318
Ni swali zuri, lakini kwanza shangaa, ni vipi hakuna mtu anayeshituka na hiyo ban, ni kama hamna jambo limetokea, nae angekuwa na busara angejiuzuru ili kuonyesha ukomavu katika kubeba kashfa kubwa kiasi kile.
Eti serikali aishughuliki na taarifa za mtandao, nimecheka!!!!
Eti serikali aishughuliki na taarifa za mtandao, nimecheka!!!!