GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Yes ndio , ila wewe ni malaya wa mabeberu kwa sababu unapokea misaada yao na kuwaita wahisani
Swali la kijinga kutoka kwa Jingalao.Kuna kumbukumbu ya hukumu kutoka mahakamani inayomtaja makonda ?
Duh Dunia.........Sio Marekani tu, hata airlines washampiga ban.View attachment 1344373
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Mimi nimechukua maandishi ya Kubenea, hivi mbona haulewi!! Niandike lugha gani? Kubenea 'mchadema' ameandika kua Ben amejificha... Na anajua alipoUnapojua huna akili ni bora ukae kimya kuliko huu utumbo wako!
Makonda hakuna anayempenda ndani ya Serikali. Kuanzia Makamu wa Raisi, Waziri Mkuu, Mawaziri, wakuu wa Mikoa wenzake hadi watendaji wakuu wa serikali ikiwemo vyombo vya dola.
Hata kwenye Chama hawamtaki na ameonywa hadi na Katibu Mkuu wa Chama. Shida ni mamlaka ya uteuzi wake na isiwe tabu kuliko CCM kupoteza kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu au Taifa kuingia kwenye economic crisis ni bora waende yeye na ayembeba. Hata Jumbe alikuwa one term president Zanzibar
Nisaidie tafadhali.Kwani wazungu wamesema amefanya nini kibaya hivyo huyu makonda b.Tujuze kidogoIkiwa kama Paulo Makonda ametenda unyama uliotajwa na Serikali ya Marekani na ambao umepelekea kudhalilisha nchi yetu kuliko ilivyowahi kudhalilishwa tangu Mungu aumbe mbingu na ardhi, nina swali dogo sana la kuuliza.
Je alipokuwa anatenda uhalifu huo viongozi wakuu wa nchi hii akiwemo Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu hawakujua ? Je viongozi wa idara za Usalama wa Nchi nao hawakujua? ikiwa kama raia ambaye hakuwahi hata kuhudhuria mafunzo hata ya JKT au Mgambo anaweza kutenda mambo mabaya kiasi hiki na vyombo vya usalama vikashindwa kumuona hadi waone wazungu basi nchi yetu inahitaji huruma ya Mungu.
Vinginevyo Serikali ya Tanzania ikanushe jambo hili na kuitangaza Marekani kama Taifa la waongo wakubwa ili dunia ituelewe
Hhaiwezekani jambo kubwa la kudhalilisha nchi kama hili likapita bila kujadiliwa, hatulengi kutukana wala kuhatarisha chochote, hii ni kwa sababu kilichotajwa kufanywa na Makonda ndio cha hatari zaidi kwa Taifa letu kuliko kuhoji
Naomba kuwasilisha
Uko nyuma mno !Nisaidie tafadhali.Kwani wazungu wamesema amefanya nini kibaya hivyo huyu makonda b.Tujuze kidogo
South Korea anapendwa na USA. Hali ya uchumi na ya mwananchi wa Kawaida ikoje??Pole sana. Huna hoja. Economic crisis GANI. Unadhani ukipendwa na USA Mwananchi wa kawaida atapona. Nichts ist gratis im Leben.
Umemaliza kila kitu,thread iishie hapa.Makonda ametenda uovu wake wote kwa baraka za Rais Magufuli, haiwezekani Makonda afanye uhalifu wake huku akilindwa na walinzi wa kikosi maalum cha Rais (PSU) halaf eti Rais asijue....afterall Rais amemsifia mara kwa mara kuwa anafanya "KAZI NZURI" na akamtaka aendelee "KUCHAPA KAZI".
Magufuli anajua kila kitu
Lakini pia la kujiuliza Ni kwamba vyombo vya ulinzi na usalama vilikuwa wapi?Ikiwa kama Paulo Makonda ametenda unyama uliotajwa na Serikali ya Marekani na ambao umepelekea kudhalilisha nchi yetu kuliko ilivyowahi kudhalilishwa tangu Mungu aumbe mbingu na ardhi, nina swali dogo sana la kuuliza.
Je alipokuwa anatenda uhalifu huo viongozi wakuu wa nchi hii akiwemo Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu hawakujua ? Je viongozi wa idara za Usalama wa Nchi nao hawakujua? ikiwa kama raia ambaye hakuwahi hata kuhudhuria mafunzo hata ya JKT au Mgambo anaweza kutenda mambo mabaya kiasi hiki na vyombo vya usalama vikashindwa kumuona hadi waone wazungu basi nchi yetu inahitaji huruma ya Mungu.
Vinginevyo Serikali ya Tanzania ikanushe jambo hili na kuitangaza Marekani kama Taifa la waongo wakubwa ili dunia ituelewe
Hhaiwezekani jambo kubwa la kudhalilisha nchi kama hili likapita bila kujadiliwa, hatulengi kutukana wala kuhatarisha chochote, hii ni kwa sababu kilichotajwa kufanywa na Makonda ndio cha hatari zaidi kwa Taifa letu kuliko kuhoji
Naomba kuwasilisha
Toka maktaba
August 18, 2019
Mabalozi wa Tanzania tuna wakati ngumu
Dr. Wilbroad Slaa ambaye ni balozi wa Tanzania nchini Sweden : Maajabu zaidi yanakuja, wenzetu wana maadili na demokrasia. Dr. Slaa anasema wao kama wawakilishi wa Tanzania nje ya nchi wanapata wakati ngumu sana kutetea nchi kwa vile 'wapinzani' wanatoa siri za matatizo ya haki za binadamu na demokrasia nje kwa wadau wa maendeleo
Kwa hali hii tutegemee orodha ya watu wa kushughulikiwa na Marekani kuongezekaMkuu kwani wale MAKIRIKIRI walio vamia Clouds walitoka wapi zitto alisema ?
Wenzao wanavyofanya ni hivi.
Mkubwa anabariki mambo kimyakimya, halafu ana ji distance. Kiasi kwamba, yakiharibika, anakuwa ana kauwezo fulani hivi ka kukana kwamba alijua watu wakamuamini.
Ndipo hapo utakaposikia habari za "Rais ana nia nzuri, lakini washauri wake wanamuangusha".
Kumbe walikula njama wote. Kwa kuelewa kwamba, rais asiwe exposed, kwa sababu ni mtu muhimu sana, hayupo disposable, hawa wa chini hata wakiwa exposed, inaweza kuonekana wamefanya kwa siri bila kumshirikisha rais.
Ndivyo wajanja wanavyofanya hivyo, inaitwa "plausible deniability". Yani, kukataa jambo ambako kunaweza kukubalika kwamba ni kweli.
Sasa huyu Magu yeye hana breki ya mdomo. Rais anamwambia Spika waziwazi "washughulikie bungeni, tutawashughulikia nje huku".
Rais anasema atawapiga wapinzani mpaka shangazi zao.
Hata siku mambo yakibumbuluka, kujitetea kwamba yeye hakuwahi kuwa na nia ya kuwadhuru wapinzani hawezi.
Kuna makala moja ya Washington Post iliwekwa hapa inasema Magufuli hana "plausible deniability" kwa mabaya aliyotenda Makonda na yanayotokea nchini.
Magufuli is a country bumpkin.
And maybe, at this point, that is not a bad thing.
Inaonekana alibwengwa sana alivyokuwa mtoto, alipigwa fimbo sana, aliona wenzake wanatanua sana wakati hana kitu.
Ndio maana kazuiwa kwenda Marekani?
Nadhani hawakufahamu ndo maana hata wao wamepigwa na mshangao huko walipo kwamba inawezekana vipi haya mambo akafanya bwana Paul