Hivi maisha ya Nigeria yakoje?

Hivi maisha ya Nigeria yakoje?

Ni nchi nzuri lakini kwa abuja kama ni mtu aliyechangamka ajitahidi kila kitu akijue/akipate through internet kuanzia usafiri,chakula(kuaguza),Sehemu za matembezi na mengineyo mengi.... Kama hamna ulazima usitembee hovyo ama kutembea sehemu zisizo salama kuna utekaji kwa kiasi chake pamoja na mambo ya kishirikina ikiwemo kuuana na kuuza viungo...

AFATE KILICHOMPELEKA
 
Kwaio swala la uchawi wa level za juu mmesahau😂😂 onganigwe na karishika hizi movies zimenifanya niogope nigeria
 
Huu ndo ukweli mchungu umeamua kuuweka hapa

MTU awe na PhD then aishie kusafisha viatu
Mtu mwenye Elimu kwani lazima aishi Nigeria si popote pale anaajiriwa Watanzania kudanganywa ni rahisi sana na pia wakiona mtu anaongea kiingereza tu basi wanajua ni msomi Wanigeria wapo wengi pia ambao hawajasoma kabisaa shule na tupo nao huku mtaani ila wana vyeti kama wamepita hadi Chuo hiyo mpaka ukutane na jamaako ndio atasema ukweli..
 
Mtu mwenye Elimu kwani lazima aishi Nigeria si popote pale anaajiriwa Watanzania kudanganywa ni rahisi sana na pia wakiona mtu anaongea kiingereza tu basi wanajua ni msomi Wanigeria wapo wengi pia ambao hawajasoma kabisaa shule na tupo nao huku mtaani ila wana vyeti kama wamepita hadi Chuo hiyo mpaka ukutane na jamaako ndio atasema ukweli..
Asante Mkuu hii itakuwa inewafungua Akili .watu wengi.

Hata hapa Tz MTU aliyefoji cheti hawezi kuwa competent
 
Kuna mtu wangu wa karibu anaenda safari Nigeria.
Ningependa kujua maisha ya huko yakoje kuanzia usalama,social life,vyakula na mambo mengine ya msingi.
Kuna mitaa Lagos ni no go zones japo serikali inakataa kukibali

Utekaji kwa ajili ya kafara ni mwingi sana so ni kuwa makini

Pesa ipo lakini biashara nyingi zinaushindani sana
 
Ili uwe kama wao kila neno ongenza ooooh.

Mfano :
I want food oooh
Where is the post office ooh

Mengine ni UTAPELI kwa wageni hasa ukiwa mzungumzaji sana kingine wanapenda sana watu kutoka TANZANIA wengi watakuwa rafiki zako
 
Sijafika Nigeria ila nachojua maisha ya huko sio Lelemama.
Wasomi ni wengi ila ajira hamna watu wanaishi kijanja Sana kama kina Mark Angel na Ojo😅

Mi nakushauri ukifika huko we zingatia tu kilichokupeleka huko walai usihangaike na mambo Yao.
 
Kuna mtu wangu wa karibu anaenda safari Nigeria.
Ningependa kujua maisha ya huko yakoje kuanzia usalama,social life,vyakula na mambo mengine ya msingi.
North nigeria kuna ugaidi na violence asiende
 
Aangalie movie za Aki na Pawpaw yale ndo maisha halisi ya Nigeria , waliona kituo cha polisi cha Oysterbay baada ya msanii wao mmoja kukamatwa Tz ikazua gumzo nchi nzima Nigeria wanashangaa Tz inawezaje kuwa na kituo cha polisi kizuri kama kile ilikua ni maajabu hawajawahi kuona kwao
Hizi habari za kweli mkuu?😁
 
Back
Top Bottom