Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,188
- 124,862
Mimi sosho midia zangu wamejaa wanaijeria, napenda sana content zao. Kikubwa nilichokigundua kwao umeme hakuna 😁😁 yaani ni afadhali ya TANESCO kwa mujibu wao wenyewe NEPA wanaweza kukata umeme hata miezi mitatu kwa baadhi ya maeneo, karibu kila household yenye uchumi wa kati na kuendelea wanamiliki jenereta