Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Ni changamoto tu, yabidi apambane!!!Ni kweli lakini mapito anayopita kabla ya hukumu ni magumu!
Ni changamoto tu, yabidi apambane!!!Ni kweli lakini mapito anayopita kabla ya hukumu ni magumu!
"Asiefunzwa na *****...."Ni malezi na mazingira aliyokulia yalimkomaza mapema
Na akivuka hapa salama, inabidi akitulize tu chini!Ni changamoto tu, yabidi apambane!!!
Kukituliza sio rahisi, angekuwa wa kukituliza kipindi ametoka kwa dhamana ndo angekituliza lakini wapi..Na akivuka hapa salama, inabidi akitulize tu chini!
....Umepatikana na kosa la kuua bila kukusudia, mahaka imekuona hauna hatia, imekuachia huru...!Anaweza akaachiwa huru kabisa
Ni kichwani signal haziko strong ama njaa za Mjini?Kukituliza sio rahisi, angekuwa wa kukituliza kipindi ametoka kwa dhamana ndo angekituliza lakini wapi..
Kwani alikulia katika mazingira gani?Ni malezi na mazingira aliyokulia yalimkomaza mapema
Kwa mujibu wa sheria namba..... Kifungu..... Mshtakiwa aliua bila kukusudia, na adhabu yake kwa mujibu wa sheria namba...., adhabu yaweza kifungo cha miaka....,au faini....., lakini kutokana na ushahidi......., Mahakama imeamua kumuachia huru Mshtakiwa!!!!!....Umepatikana na kosa la kuua bila kukusudia, mahaka imekuona hauna hatia, imekuachia huru...!
Ama hukumu itasomwaje!
Wenzetu hawa hawapendi kuumiza Kichwa kabisa!!!! Wanapenda maisha mazuri bila kufanya kazi, lazima zile sehemu ziumie tuuNi kichwani signal haziko strong ama njaa za Mjini?
Daah. Mtihani sana. Wanajisahau. No situation is permanent!Wenzetu hawa hawapendi kuumiza Kichwa kabisa!!!! Wanapenda maisha mazuri bila kufanya kazi, lazima zile sehemu ziumie tuu
Kwa kifupi tu hear say zinasema yule Dr Chain anaekwenda mahakamani kila siku ya kesi alikata utepe Lulu akiwa na miaka 9. Hii ilikuwa rahisi kwani jamaa alikuwa wa mama kwanzaKwani alikulia katika mazingira gani?
Ulisoma lile gazette?Nipo my dear
Ndo hivyo tenaDaah. Mtihani sana. Wanajisahau. No situation is permanent!