Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Kamuulize maana inaonyesha anakuchoma sana
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Kamuulize lubuvaa
 
Zunguka na wewe nchi nzima uone utamjua Lowasa ni Nani? Maswali ya kijnga kabisa usilete jf.
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Wewe ni nani ndani ya cdm mkuu mpaka unahoji wanachama wake kufanya mikutano?...mnataka nn mkuu mana mikutano ya ndani imeruhusiwa..
 
Haya mmeibiwa,mnafanyaje sasa?Au mwisho wenu ni kulialia tu!Mlidanganywa mahakama ya mafisadi sasa mmeinamisha vichwa baada ya kugundua ni geresha tu!Ashasema hafukui makaburi
Hivi kufunguliwa kwa mahakama ya mafisadi tulitegemea nani wa kwanza kupelekwa huko? Sijui kwanini watu wa sisiemu na viongozi wao wamekua wakipiga kelele kila kukicha kua ENL ni fisadi. Kwanini hawampeleki kwenye hiyo mahakama tujue mbivi na mbichi ni zipi? Tumechoka na kelele zao
 
Anafanya Siasa kama mwekezaji wa siasa, ambaye anajitahidi kurudisha pesa zake zilizopotea kipindi cha uchaguzi 2015, angalau na yeye apate kifuta machozi.

Chezea matapeli wa kisiasa wewe, mzee wa watu wamemfilisi.
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?

Kaulize kamati ya ccm pind wanamchagua mwenyekiti wa chama. Kila mmoja wao akisiamama.lazma ataje jina la Lowasa ndio aendeleena lingine. Ndio utajua lowassa
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?

Kwa sheria za TZ Mzee Lowassa ana haki ya kufanya anavyofanya. Ila kumbuka kuwa alishasema bila kupepesa macho kuwa kushindwa uchaguzi 2015 ni mwanzo wa maandalizi ya uchaguzi 2020. Kwa hiyo usishangae akizunguka kila mahali, hii yote ni maandalizi ya 2020. Alimalizia kwa kusema "losing a battle is not losing the war". Anaamini kwa mbinu hizi ikifika 2020 ushindi kwake utakuwepo.
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Duuh.....ni weye peke yako anakupa tabu au muko wengi.....???Kwa nini usi au musifanye yenu muka achana na EL.
He is powerful na anapendwa ....haya ni maoni yangu na hulazimiki kuyakubali.
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Hata wewe unaruhusiwa kuzunguka nchi nzima ukifanya siasa
 
Back
Top Bottom