Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Mwacheni afanye siasa ndo kujiajiri kwake na kujipangia matumizi ya mipesa yake na yapate walaji.hayo mapesa aliyochuma akiwa serikalini nani atayatumia
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Ndiyo anaweza mkuu,kufanya sasa bila kusumbuliwa,hakuna wa kumsbua
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Na wewe kama nani una hoji?wewe unashangaa nchi hii hata ww ukiamua kufanya ruksa acha ngebe.
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Zitafute sheria uone zibasemaje ndio uje
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Kwan Lipumba anafanya siasa kama nani?
 
Lowasa anawatesa na ataendelea kuwatasa. Msipo post habari za Lowasa siku haiingi.
Fisadi mara mwizi, si serikali impeleke mahakamani. Tumechoka na nyimbo zenu za vogoro
 
KAMA MTANZANIA...Katiba inamruhusu kwenda sehemu yoyote nchini na kukutana na mtu yeyote
 
Kwakweli Lowassa ifike mahali aone aibu, apumzike ikulu kuna nini, anang'ang'ana tuuuuuu, umri umemuacha
Nana akufo ado aligombea urais wa Ghana zaidi ya mara mbili na kushindwa lakini uchaguzi wa juzi waghana wamemchagua kuwa rais wa nchi yao.
 
Lowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
Ina maana kuwa alimununua hadi Mwl nyerere kwani yeye ndiye raisi wa kwanza kumpa cheo na madaraka. Basi lowassa kiboko anafaa kuwa raisi
 
Lowasa anawatesa na ataendelea kuwatasa. Msipo post habari za Lowasa siku haiingi.
Fisadi mara mwizi, si serikali impeleke mahakamani. Tumechoka na nyimbo zenu za vogoro
Alishafikishwa kwenye mahakama ya bunge na akahukumiwa kwa kufukuzwa uwaziri mkuu.
 
Lowassa yuko sahihi kabisa kuzunguka kufanya mikutano ya hadhara na wewe nadhani hujui maana ya democracy ni nini
 
Back
Top Bottom