[emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] Wenye utambuzi tunamfahamu mwenye chuki tena za asili zinazothibitika katika matendo na maneno yake. Yawezekana unamzungumzia huyo na siyo ENL!Lowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
Si uchaguzi uliisha au kateuliwa tena kugombea uraisi au kugombea uraisi ni cheo kwenye chama.Ili upate jibu la hiyo mikutano pamoja na kuwa yeye ni nan, Ni vema ukajiuliza mwaka jana alipata kura ngap za urais..?!
Nimekurahisishia swali, anzia hapo ...!!
Anafanya siasa ndiyo nini?Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Ibara ya 18 na 21 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakupa majibu ya maswali yako!Usiwe mvivu wa kusomaAnazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Hujajibu swali,umekurupuka tu!Umeulizwa anafanya siasa kama nani kwenye nchi hii????Ubgejibu hayo kama ungeulizwa anafanya kama nani kwenye chama!lowasa anafanya siasa kama mwenye chadema, mmiliki halali wa chadema, maneja na mkurugenzi chadema, hutaki hama chama
Haya mmeibiwa,mnafanyaje sasa?Au mwisho wenu ni kulialia tu!Mlidanganywa mahakama ya mafisadi sasa mmeinamisha vichwa baada ya kugundua ni geresha tu!Ashasema hafukui makaburiAnafanya siasa kama mkogwe wa kupiga madili ya Kifisadi!
Huko ni kuzunga tu anatembelea miradi yake aliyo ipata kwa kuwaibia wananchi walala hoi!
Hiyo ni mikutano ya ndani mnapanic,serikali ikiruhusu mikutano ya hadhara hapo ndio mtamjua lowassa!Lowasa ni mmiliki halali wa chadema,
Aliuziwa chama na Mbowe billion kumi mchana kweupe.
Wewe unaandika ujumbe huu kama nani? Kasome katiba ya TZ utalipata jibu lako.Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Wewe na familia yako!!Lowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
Pole, kwa nyimbo isio uza!!!Lowasa ni mmiliki halali wa chadema,
Aliuziwa chama na Mbowe billion kumi mchana kweupe.
Nyoo Lipumba anafanya kama nani acha unyang'aoAnazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Ko wanaokimbiza kina john mbugan kuwachukua kina saa nane kufany uchumi kuwa mgum hiv wanatufaa ati?Lowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.