DUME SURUALI
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 782
- 1,085
anafanya siasa kama MUNGU we ulitaka afanye siasa kama Nani ??
Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inasemaje kuhusu kufanya mikutano na siasa kwa ujumla?Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani ? Sheria za nchi zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Wangemkata??Hivi Mh. Lowassa ana siri gani ya ccm maana wanavyomwogopa usipime maana Mh. Sumaye yeye hawamsemi sana.
Kwani wewe unaleta majungu hapa kama nani?Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi tu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Mkuu hawa muda si mrefu watatuelewa huyu jamaa ni msaliti katumwa na jamaaa yake ni kama yule waziri Mkuu wa lebanon, unamkumbuka aliyegundulika na microphone chooniAnafanya siasa kama mtanzania.
Mtanzania yoyote ana haki ya kufanya siasa, wakati wowote, mahali popote hapa Tanzania.
Lowassa anatumia haki yake kama mtanzania.
Lakini usisahau pia Lowassa ndio chaguo rasmi la Watanzania wengi kama rais wao katika uchaguzi wa 2015.
Amen RALowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
Na waliokula rambi rambi mchana kweupe tuwaiteje?Anafanya siasa kama mkogwe wa kupiga madili ya Kifisadi!
Huko ni kuzunga tu anatembelea miradi yake aliyo ipata kwa kuwaibia wananchi walala hoi!
Kazi ya mwanasiasa ni siasa nashangaa unashangaa mwanasiasa kufanya siasaAnazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi tu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
kwa kweli lowasa ifike mahali aone aibu, apumzike ikulu kuna nini, anang'ang'ana tuuuuuu, umri umemuachaLowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
mbowe mjanja anamtumiaaaa kama jojo, baadae atamtemaKazi ya mwanasiasa ni siasa nashangaa unashangaa mwanasiasa kufanya siasa
Uwe unafikiria kwanza kabla ujapost uziAnazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi tu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Na wewe unahoji ukiwa kama nani ?Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi tu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?