Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Mleta uzi kauliza hajahoji. Kifupi anafanya siasa Kama mean as is as na sheria haimzuii
Nimesoma post zote za kabla yako, wote waliochangia wamepatwa na ugonjwa wa Mihemko hakuna aliyemjibu mleta Mada.

Mleta mada yeye kauliza maswali nilitarajia kama kuna mwenye ueledi amjibu.
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Na wewe unauliza kama nani?Muache baba wa watu
 
Ili upate jibu la hiyo mikutano pamoja na kuwa yeye ni nan, Ni vema ukajiuliza mwaka jana alipata kura ngap za urais..?!

Nimekurahisishia swali, anzia hapo ...!!
Hata Rungwe alipata kura mbona hazunguki nchi nzima?
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Tamaa na uchu wa jumba jeupe badluck AMESHACHELEWA.
 
Pole sana. Huyu Laighwanan anaua watu kwa vichomi, viungulia, BP, kisukari vinayotokana na kumuogopa. Pole sana. Nilishasema, ili umchukie huyu mzee inabidi uwe na Bima ya Afya ya hadhi ya juu. Wewe mtoa post, hujasema ili mtanzania ashiriki siasa (actively or passively) anatakiwa awe na sifa zipi ili tuone kama ENL ana-qualify or not? FYI: uwanja wa siasa upo wazi kwa kila mtanzania kufanyia popote provided havunji sheria za nchi so na wewe unakaribishwa uzunguke nae ujifunze siasa.
 
Anafanya siasa kama raia mwenye mapenzi na nchi yake basi.
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Hivi na wewe una uliza kama nani
 
Lowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
ndugu kama ungefikiria kwa kina usinge sema hatufa bali ungesema hani fai mimi.

Maana anamtaji wa kura ML6 si watu kidogo hawa rafiki na huwezi kujua anaongeza idadi zaidi Au laha fikiria hilo kijana.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya chama.
Kama anakuuzi, kanye!
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Ni Sheria ipi Mh Lowassa ameivunja?
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Kwanza wewe kama Nani unahoji uhalali wa lowasa kufanya siasa tz unamamlaka gani na khatiba ya nchi inasemaje jitambulishe then uulize tena swali lako
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Yeye ndiye kanunua chadema kwa bei mbaya, hivyo CDM ni mali yake, pia ni Rais wa Machadema wote, na anaogopwa.
Nyongeza ni mgombea wa chadema wa urais 2020
 
wamarekani walikuwa na#not my president,hata mi lowassa ndio rais wangu huyu mwingine not my president
Hivi kumbe wafu kwa kutukia shetani nao wanaweza kuandika na ku-post mitandaoni
 
Kaulize kamati ya ccm pind wanamchagua mwenyekiti wa chama. Kila mmoja wao akisiamama.lazma ataje jina la Lowasa ndio aendeleena lingine. Ndio utajua lowassa
Ahahahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana ngoja na mi niwasaidie lowassa lowassa uenda ntapata dola pale lumumba mh kwel mzee anaumiza vichwa sana kwa chichiemu kwakwel
 
Back
Top Bottom