Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Hivi Lowassa anafanya Siasa kama nani?

Hivi kufunguliwa kwa mahakama ya mafisadi tulitegemea nani wa kwanza kupelekwa huko? Sijui kwanini watu wa sisiemu na viongozi wao wamekua wakipiga kelele kila kukicha kua ENL ni fisadi. Kwanini hawampeleki kwenye hiyo mahakama tujue mbivi na mbichi ni zipi? Tumechoka na kelele zao
Kwa akili za wapiga kura wengi waliodanganyika waliju wakwanza atakuwa lowassa,kitu ambacho hawajui ni kuwa serikali ikifanya hivyo watakuwa wamemsafisha na hivyo wimbo wao wa mahakama ya mafisadi utakosa waitikiaji,wanachofanya ni kuendelea kuimba fisadi huku mahakama milango iko wazi!
 
Milioni nane na ushee.zikabadilishwa zikwa milioni sita na ushee kwa kutumia Jecha's and Lubavu's laws.
Mimi usiniweke kwenye Ushahidi Mkuu tafadhari Malaika washashuka kuja kufunga Mitandao ya Kijamii
 
Jamani Wote mnajua Lowasaa Ni Gundu hivyo acheni kumjadili atatuharibia uhondo wa JF chonde chonde msahaulini huyu Waulizeni watu wa Boda boda kama wanahamu nae tena.. ni Shida.. Maana hadi leo hii hajakata Tamaa pamoja na Yote
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
anafanya siasa kama mtanzania huru anayejielewa!
 
Lowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
Lofa katika ulofa wako[emoji196]
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Kabla hujapata jibu kamuulize SIZONJE [emoji196] pesa yetu ya TETEMEKO ameweka wapi
 
Anafanya siasa kama mkogwe wa kupiga madili ya Kifisadi!

Huko ni kuzunga tu anatembelea miradi yake aliyo ipata kwa kuwaibia wananchi walala hoi!
LOFA WA LUMUMBA[emoji196] umeibiwa kiasi gani
 
Anazunguka nchi nzima kufanya Siasa yeye kama nani kwenye Nchi yetu? Sheria za nchi yetu zinasemaje? Je mtu yoyote yule anaweza kuzunguka TZ yetu nzima na kufanya Mikutano ya Kisiasa?
Kama mama yako ase.
 
Anafanya siasa kama EDWARD NGOYAI LOWASSA.... Hawezi kufanya kama Mbowe anafanya kama yeye Edward sio mtu mwingine.
 
Kama RAIA wa Nchi hii. Kwani kufanya siasa ni katazo la Katiba au haki ya Msingi ya kikatiba?
 
Jamani Wote mnajua Lowasaa Ni Gundu hivyo acheni kumjadili atatuharibia uhondo wa JF chonde chonde msahaulini huyu Waulizeni watu wa Boda boda kama wanahamu nae tena.. ni Shida.. Maana hadi leo hii hajakata Tamaa pamoja na Yote
Mie nilikuwa namchukia lowassa lakini nashangaa ghafla naanza kumpenda hata sijui kwanini.
 
Lowasa ni "Pangu pa kavu Tia mchuzi" wa siasa za tanzania. Si mtu unaeweza kujivunia katika medani za siasa popote pale ulimwenguni. Amejaa Tamaa, umimi, choyo na chuki. Si wakutilia mfano katika jamii kama kiongozi wa kuigwa. Kwa wale wasio taka kuelewa ukweli huu ni wa kuhurumiwa na kuendelea kupewa Elimu. Fedha zake anazitumia kununua watu kupata uongozi. Hatufai hatufai hatufai.
Acha ushamba na akili za kimaskini eti kiongozi lazima awe maskini. nikuulize viongozi waliopita waliingia maskini sasa hivi wakoje? mbona akili ndogo mnaruhusu itawale akili kubwa wakati nchi za watu wenye uelewa wanahitaji matajiri waongoze nchi cc tunazama za kishamba sana. tena huenda ww n msomi halafu unatoa shudu. nan hana uroho wa uongozi na nan alichukuliwa form tuache akili za kijinga mi naona hao mnaosema hawana uchu wa madaraka hakuna kipya kama n rushwa hakuzireta lowasa wala baba yake jiulize zimeeletwa na nan
 
KWANI MAGU FOOL ANAJUA ANACHOKIFANYA ZAIDI YA KUIBA RAMBI RAMBI ZA WAFIWA
HAKUNA ROHO MBAYA KAMA KULA RAMBIRAMBI HALAFU NI MKOSI NDIYO MAANA HATA MVUA HAINYESHI MAJANGA KILA SIKU,MKOSI MKOSI UMEINGIA NCHI YETU
 
Yani lileta mada litapasuka kwa jinsi lilivyovimba.
Utakufa wewe.
 
Back
Top Bottom