Hivi Liverpool wanaugomvi na full nembo je designer wao huwa alioni hili

Hivi Liverpool wanaugomvi na full nembo je designer wao huwa alioni hili

Scared

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,847
Reaction score
17,503
Yaani hii timu inatia jezi Kali ila wanaharibu kukaweka kandege peke yake yaani inakua ya kawaida sana Sasa najiuliza wanaugomvi na full nembo kwenye jezi au maana naona designer wao anafeli hapo
 

Attachments

  • Screenshot_20250803-223704_1.jpg
    Screenshot_20250803-223704_1.jpg
    803.4 KB · Views: 16
Yaani hii timu inatia jezi Kali ila wanaharibu kukaweka kandege peke yake yaani inakua ya kawaida sana Sasa najiuliza wanaugomvi na full nembo kwenye jezi au maana naona designer wao anafeli hapo
Ulitaka waweke nini kwa mfano?
 
Yaani hii timu inatia jezi Kali ila wanaharibu kukaweka kandege peke yake yaani inakua ya kawaida sana Sasa najiuliza wanaugomvi na full nembo kwenye jezi au maana naona designer wao anafeli hapo
Nembo za timu hubadilika. May be wewe ndio unakariri maisha bado. Kuna vitu potentia tu ndio hubakia hivyo ila vya ziada huweza kubadilishwa. Fuatilia utaelewa
 
Mbona kali tu,usishangae simba kumweka Simba bila logo
 
Yaani hii timu inatia jezi Kali ila wanaharibu kukaweka kandege peke yake yaani inakua ya kawaida sana Sasa najiuliza wanaugomvi na full nembo kwenye jezi au maana naona designer wao anafeli hapo
Hee
 
Back
Top Bottom