The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 820
Nani aliyekuambia kuwa wenye dini huwa hawaui ? Ungeliukiza sababu ya mwenye dini kuua labda ndiyo ungejibiwa vizuri.Hivi Magufuli ana dini kweli? Hebu aeleze kuhusu jaribio la kumuua Lissu kwa risasi! Mwenye dini aweza kufanya hivyo? Kuwepo au kutokuwepo Covid19 Tz hakuna uhusiano wowote na Magufuli.