minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Wewe ndiyo unaugua maradhi ya kuamini CCM ni mungu na malaika hawana DhambiLisu ni mtu wa kuhurumia sana ameanza kuugua maradhi mabaya sana
Wewe ndiyo unaugua maradhi ya kuamini CCM ni mungu na malaika hawana DhambiLisu ni mtu wa kuhurumia sana ameanza kuugua maradhi mabaya sana
Hivi wewe nguchiro wale wote waliokufa Italy, Spain, Marekani, China, etc etc Mungu hawapendi? kwa nini mnakufur. Lisu kasema kweli Mungu haangaiki na wajingaKatika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.
Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.
Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na ana muda wa kuhangaika na wajinga.
“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.
Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”
Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”
Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.
Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.View attachment 1611348
Maana ya ujinga ni NECCCM Tumeccm Polisiccm kuidhoofisha kuihujumu chadema, maana ingine ya ujinga ni ile Tabia ya hovyo ya CCM kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzaniHivi wewe nguchiro wale wote waliokufa Italy, Spain, Marekani, China, etc etc Mungu hawapendi? kwa nini mnakufur. Lisu kasema kweli Mungu haangaiki na wajinga
jisaidie mwenyewe kwanza Mungu atakusaidia.
Huwa anaenda kumsanifu mungu tu siyo zaidiMagufuli ni mkristo ,Mkatoliki kanisani anaenda kufanya ni nini na damu za watu aliso mwaga?
Wewe ni nani .... Ukaribu wa mtu na Mungu, anajua yeye... Mungu na Pengin ... Shetani!Toka kipindi Cha nyuma sijawahi muona lisu anakuja kanisani Wala jumuiya na nipo naye jirani
Sent from my Plume L2 Pro using JamiiForums mobile app
Ndugu suala la Corona ...Tanzania, kuvaa mask, sijui Nini... tusimkufuru Mungu, Kama katuponya Basi ashukuriwe .... Ila binafsi naogopa Corona!Sasa mbona yeye Lissu hatumuoni kuvaa mask na anashikana mikono na watu hovyo tu kwa kifupi hana hofu na corona,sasa ushamuuliza huo ujasili wa kutofuata taratibu za kujikinga na corona anaupata wapi wakati hapo Kenya watu wanaumwa?
Kuna mtu aliwahi niambia Mungu ndiye mwanasayansi wa kwanza,Never discuss things that are beyond your capacity
Below cartoons and cat show how your brain is limited
You can not prove things that are beyond your Brain
Maendeleo ya teknolojia ndio yanayofanya baadhi ya mambo ya kidini na kiimani watu kuyaacha
Leo unatumia I Pad au Simu smart kudownload vitu
Lakini Nabii Musa alizidownload enzi hizo
View attachment 1611351View attachment 1611352View attachment 1611353View attachment 1611354
Kura za ubunge na uraisi zitasafirishwa kwenda kuhesabiwa jimboni, hazitahesabiwa kwenye vituo vya kupigia kura
Kura za udiwani zitasafirishwa kwenda kuhesabiwa makao makuu ya kata (katani)
Wapinzani hampati kitu.
Kuweni makini
Maradhi ya kushindwaLisu ni mtu wa kuhurumia sana ameanza kuugua maradhi mabaya sana
Sasa tupime ili kujua athari za Corona Tz au tupime tu ili tujue ni kiasi gani cha watu Tz wana hivyo virusi ila wanaendelea na shughuli zao bila kuuguwa?Ndugu suala la Corona ...Tanzania ,kuvaa mask,sijui Nini...tusimkufuru Mungu, Kama katuponya Basi ashukuriwe ....Ila binafsi naogopa Corona!
Kuhusu Lissu kuvaa au kutovaa Hilo anajua yeye!
Ila uhalisia kuwa Kama Mungu ametuondokea Corona...Basi uitishwe upimaji nchi mzima tujiridhishe!
Pili ,hivi hizi nchi nyingine Hazina Mungu!
Naona mnatupa karata ya mwisho Ila mapema sana, Sasa kesho na jeshokutwa ntakuja na nn maana karata zimeishaLisu ni pagani tu halina dini kumpa kura in kumkufuru Mungu
Hivi Magufuli ana dini kweli? Hebu aeleze kuhusu jaribio la kumuua Lissu kwa risasi! Mwenye dini aweza kufanya hivyo? Kuwepo au kutokuwepo Covid19 Tz hakuna uhusiano wowote na Magufuli.Ni ujinga wa hali ya juu kusema imendoka Tanzania kwa sababu ya kusali. Na ni ujinga wa hali ya juu kufikiri Mungu anaweza kuchezewa na mtu mwenye tuhuma za mauaji kama Magufuli.
Kwani wewe siyo mjinga zaidi? Mungu ndiyo alikutuma kwenda kumpiga risasi?
Wewe Brain yako ndiyo iko Blind kabisa.Never discuss things that are beyond your capacity
Below cartoons and cat show how your brain is limited
You can not prove things that are beyond your Brain
Maendeleo ya teknolojia ndio yanayofanya baadhi ya mambo ya kidini na kiimani watu kuyaacha
Leo unatumia I Pad au Simu smart kudownload vitu
Lakini Nabii Musa alizidownload enzi hizo
View attachment 1611351View attachment 1611352View attachment 1611353View attachment 1611354