Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,276
- 6,438
JPM katuondolea hiyo hofu maana ndiyo kilichokuwa kinatusumbua.Kwahiyo JPM ndiye aliyeaombea?
JPM katuondolea hiyo hofu maana ndiyo kilichokuwa kinatusumbua.Kwahiyo JPM ndiye aliyeaombea?
Kwa hiyo sio Mungu aliyeondoa corona, ni Magufuli? na kama corona iliondolewa na Magufuli kwanini vipimo vilizuiwa ili watu wasijue kama wana corona au la corona!JPM katuondolea hiyo hofu maana ndiyo kilichokuwa kinatusumbua.